Recent content by Pompiduu Sengiyumva

  1. P

    Ushauri: Nina Mkopo wa TZS Million 5, nataka kununua gunia za Mchele toka Mbeya kuleta Dar, inalipa?

    Ina maanisha hiyo elfu 29 au 30 ni kwa plastic 1 ya kilo 20 sawa na sh.1450 au 1500 kwa kilo.Kwa kg100 sawa na sh145000 au 150000.Hiyo ni bei ya kununua huko mbeya na c sokoni huku dar.Ila huko mbeya imeshuka.Kwa jana nimeulizia nimeambiwa kwa plstic 1 imekuwa 27000 kwa mbeya mjini,kyela imekuwa...
  2. P

    Ushauri: Nina Mkopo wa TZS Million 5, nataka kununua gunia za Mchele toka Mbeya kuleta Dar, inalipa?

    Inategemea na aina ya mchele.Nipigie kwa 0783-181184 au 0717-511439 nikupe maelekezo ya soko la huku dar
  3. P

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Kwa kukushauri nunua mchele na c mpunga ili pesa izunguke. Kwa gunia moja,garama ya kununua hadi kusafirisha kwa mfano kati ya mbeya na dar ni kati ya 135000 hadi 14000. Ukiuza unauza kati ya 160000 hadi 180000. Kwa kila gunia kuna faida kati ya 20,000 hadi 40,000.kwa hela yako unapata gunia...
  4. P

    Fursa Mafinga, Iringa

    Naombeni nifahamishwe kuhusu gharama za kusafirisha mbao toka Mafinga kuja Dar es salaam. Je,unafata mtiririko upi ? Je, pia kwa mkoa wa Iringa biashara ya mitumba inalipa?
  5. P

    Fursa za Kibiashara, Democratic Republic of the Congo

    Shukrani best ! Vp uaminifu wa watu wa huko ktk kufanya nao biashara.Pia pale mpakani ktk kuvusha bidhaa kuna garama kubwa ? Inakuweje ulete vitenge wakati huko ndo vinapatikana kwa wingi ?
  6. P

    Fursa jijini Mombasa

    Shukrani mkuu ! Vp fursa za biashara ya mchele,nguo(za kike na kiume),vipodozi,viatu ikoje hapo ? Vp mpakani ushuru ni mkubwa ?
  7. P

    Mengi ana agenda gani na waraka wa siri uliokataliwa CHADEMA?

    NDO WAHAFIDHINA WENYEWE,WANAFIKIRI KIMA------ badala kufikiri kwa ubongo ! Akiona ZZK shetani keshampanda bila hata kuuruhusu ubongo ufikiri !Walinda maslahi wa kaskazini !
  8. P

    Zitto Z. Kabwe,tafuta mshauri!

    Unachekesha sana ! Viongozi walipoitisha vyombo vya habari na kumpaka kwa tuhuma,alafu yeye awe ----- akazungumze chumbani ? Ni sawa akutukanae hadharani halafu wewe ukamtukane chumbani kwa kumrudishia ! Acheni kuwa na akili kwenye vifuniko vya mzee Mtei !
  9. P

    Tahadhari Kubwa kwa CHADEMA

    Kijan unaonekana unaongozwa na mihemko ya mwili huku Ukuiacha akili ifanye kazi ikiwa 05% ! Mbona hakuna tuhuza za ZZK zilizo na VIVID & CONCRAT evidence makosa yake ? Mashtaka yenu yamejaa, INADAIWA,INASEMEKANA nk. Toeni ushahidi hai wa tuhuma kama yeye alivoutoa yeye jana ! Inaonekana cdm...
  10. P

    Hotuba ya Zitto Kesho kwa Wandishi wa Habari ndio Kipimo cha Maturity na Vision ya Zitto

    Mbona mnaweweseka hata kabla ya ZZK hajazumgumza ? Kweli kivuli chake ni KITISHO mbele ya WALANGUZI wa kaskazi wanaotumia mgongo wa SHIDA ZA WATZN
  11. P

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Chama cha maaskofu naona sasa watajipongeza kwa mvinyo maana hakuna kitisho tena kwao ktk kupitisha maamuzi ya MoU yao na waraka wa uchaguzi 2015
Back
Top Bottom