inahitajika busara ya hali ya juu, shibuda aachwe amalize ubunge wake, viongozi wa chadema endeleeni kuimarisha chama achaneni na mambo ya shibuda,huu si wakati wa kuwania urais, bali ni wakati wa kutatua matatizo waliyonayo wananchi walio wengi, ambao wanaishi katika lindi kubwa la umasikini.