Recent content by Pombe sio maji

  1. Pombe sio maji

    Naomba kujuzwa fursa za kiuchumi,changamoto na na faida za kuishi Mkoa wa Katavi hasa Wilaya ya Mlele

    Kaka Mimi ni mfanyabiashara wa dagaa na furu WAKAVU na WALIOKAANGWA kaka saizi masoko mengi ya huku Kanda ya ZIWA yamefurika natamani kuuingia huko nijaribu hususani kwenye maeneo ya wakulima na wafugaji WENGI hasa wasukuma tafadhali naomba kama una abc za mavijiji ya huko niambie
  2. Pombe sio maji

    Naomba kujuzwa fursa za kiuchumi,changamoto na na faida za kuishi Mkoa wa Katavi hasa Wilaya ya Mlele

    Mkuu habari kaka naulizia ivi haya madagaa na furu zinalika kweli huko mlale
  3. Pombe sio maji

    Wanabishana Kenya kama watoto waliozaliwa nje ya ndoa wana haki ya urithi

    Je mama akizaa nje ya ndoa nae huyu mwanae atapata urithi.. sasa natafakari kama mke wa mtu achepuka na mme wa mtu kwaiyo mtoto atapata kotekote au kukosa pote?
  4. Pombe sio maji

    Biashara ya AGROVET (KUUZA PEMBEJEO ZA KILIMO NA MIFUGO)

    😂😂 yawezekana wadau hawana deep data kuhusu hii biashara dahh inanibidi niingie ivoivo ndo nitajifunza zaidi... Nikiwa field..
  5. Pombe sio maji

    Biashara ya AGROVET (KUUZA PEMBEJEO ZA KILIMO NA MIFUGO)

    Sawa.. kwanini si rukwa mkuu. Sababu ata mie sio mwenyeji wa hayo maeneo niliotaja ila natamani nisifanyie nje nyumbani. Pia sio lazima biashara ya agrovet hapana nachojua me natamani nifanye kazi yeyote ambayo hataingiliana Moja Kwa Moja na vibali vya serikalini sababu mtaji Bado ni mdogo Mimi...
  6. Pombe sio maji

    Biashara ya AGROVET (KUUZA PEMBEJEO ZA KILIMO NA MIFUGO)

    Habari wa WADAU Naitwa Mr. t Nilikuwa ninawazo la kuanzisha biashara ndogo ya agrovet Kuuza pembejeo za kilimo na mifugo mtaji wangu ni 2.5 m hapo nihela ya mzigo tu. Dhumuni langu Nini. 1.kuna wadau humu wanajua ABC's za izi biashara A)chimbo la bidhaa B)mambo ya vibali ila ningetamani kuanzia...
  7. Pombe sio maji

    Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

    Mambo ndo haya Sasa Managerial tasks Diseases 1.leaf spot tumia madawa ya copper eg copper oxide na oxychloride 2.damping off tumia chlorothalonil, carbendazim ku prevent 3.powdery mildew tumia madawa ya sulphur 4.athracnose tumia madawa ya copper 5.fusarium wilts tumia madawa ya kukinga...
  8. Pombe sio maji

    Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

    Way back Nilikuwa farm manager kwenye mashamba ya mikorosho singida ikungi na manyoni korosho Kwa singida Zina kubali Tena sana ila itakubidi uwe na watu wa kazi wakutosha Mwenyewe hutatoboa chukua vibarua Dodoma au kigoma ingiza kambini wape mahitaji kazi ianze Ila itakubidi ujipange sana...
Back
Top Bottom