Sidhani kama Pana mnyiramba asiyeloga, hii pia inaleta mtazamo mbaya kwa wanyaturu.... Kabla ujaenda au kuoa, chunguza hapo mahali, nenda, hemu pata mtazamo was hiyo familia....
Hata kama anasali FPCT, au Mtoto wa Bishop, kwa Singida anaweza kuwa mchawi kama kawaida.......
USISEME HUKUAMBIWA
Kuna Jambo: angalia yafuatayo:
- alikusomesha kwa tabu hukuzingatia.
- kuna makosa ya msingi sana.
- Pengine wewe WA nje Ila kusema hataki..... Wazazi hasa was kiume wanapita mazoruba mengi sanaaaa....
Kama kazi yako no kutafuta wateja wa kampuni na Una Biashara yako, Bora kutafuta wateja wa Biashara yako...... Yaweza kuwa mgumu, but yaweza kuwa ngumu as u start, jipe moyo na uwe consistent
Mke wako, sio wake zetu.... Umezoea tabia za wadada unaolala nao Bar ndo Maana unadai.... Na yeye hivyo hivyo ila anavunga Tu. Huko nje anabinuka kabisa...
Uliingia kwenye hayo mahusiano kwa hila na udanganyifu ilihali na wewe upo hivyo hivyo..... Kama alimuacha jamaa wake kwa umbeya wako je kwa mini aaikuache wewe? Kajua wote MPO Sawa, vuna ulichopanda.... I wish ugundue mapema na usizae tena, hiyo ndoa inakata, au kuwa Mme bwege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.