Nimeacha kazi leo

Nimeacha kazi leo

Nimefanya kazi katika kampuni hii kwa miaka minne kama afisa manunuzi. Kutokana na ugumu wa soko, ikabidi team ya "sales" iongezewe nguvu na ndipo watu kutoka vitengo vingine ikabidi tuhamishiwe kitengo hiki.

Kwa wasiojua, Sales Officer kazi yake ni kutafuta wateja wa bidhaa za kampuni.

Katika maisha yangu, nilipanga mwaka 2020 haitavuka lazima nitaacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri kwa asilimia mia. Hivyo tayari nilikuwa najiwekea akiba na pia nilishaanza kufanya biashara yangu.

Kwanini nimeacha kabla haijafika 2020? Ni kwa sababu nimehamishiwa kitengo cha Sales. Nimeona si akili kutafuta wateja kwaajili ya kampuni kuanzia asubuhi mpaka jioni wakati namimi nina biashara yangu natakiwa kutafuta wateja.

Hivyo, nitatumia muda ambao nilikuwa natakiwa kutafuta wateja wa kampuni kutafuta wateja wa biashara yangu. Najua sio rahisi lakini nitaweza.

Usipotaka kujiajiri kutimiza ndoto zako basi utaajiriwa kutimiza ndoto za wanaume wenzio. Usiku mwema

12/12/2018, 09:12 Pm
Mkuu naomba uwe unatupa updates ya maisha mapya
 
Good step ila lazima wengine tuajiliwe ili kuleta uwiano sawa hata huku napo tunatimiza ndoto zetu usikariri mkuu
 
sawa KIONGOZ Mimi niliamua kuacha kazi baada ya kuambiwa niwe nampigia saluti.mtoto wangu wa kumzaa
yaani nilimsomesha mwenyewe mpaka chuo na pia nikamfanyia mpango mwenyewe wa kuingia jw nashangaa haijapita miaka m3 kawa Capteni Mimi nikiwa na ka saa kangu nikaona uboya nikaacha kazi
 
Yeah. Mlizoea kula kwa mrija huko Procurement. Kazi ya sales ni nyokoo! Wiki tu, kitambi kinapukutika choote kama mgonjwa wa TB!
 
Nimefanya kazi katika kampuni hii kwa miaka minne kama afisa manunuzi. Kutokana na ugumu wa soko, ikabidi team ya "sales" iongezewe nguvu na ndipo watu kutoka vitengo vingine ikabidi tuhamishiwe kitengo hiki.

Kwa wasiojua, Sales Officer kazi yake ni kutafuta wateja wa bidhaa za kampuni.

Katika maisha yangu, nilipanga mwaka 2020 haitavuka lazima nitaacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri kwa asilimia mia. Hivyo tayari nilikuwa najiwekea akiba na pia nilishaanza kufanya biashara yangu.

Kwanini nimeacha kabla haijafika 2020? Ni kwa sababu nimehamishiwa kitengo cha Sales. Nimeona si akili kutafuta wateja kwaajili ya kampuni kuanzia asubuhi mpaka jioni wakati namimi nina biashara yangu natakiwa kutafuta wateja.

Hivyo, nitatumia muda ambao nilikuwa natakiwa kutafuta wateja wa kampuni kutafuta wateja wa biashara yangu. Najua sio rahisi lakini nitaweza.

Usipotaka kujiajiri kutimiza ndoto zako basi utaajiriwa kutimiza ndoto za wanaume wenzio. Usiku mwema

12/12/2018, 09:12 Pm


Kama kazi yako no kutafuta wateja wa kampuni na Una Biashara yako, Bora kutafuta wateja wa Biashara yako...... Yaweza kuwa mgumu, but yaweza kuwa ngumu as u start, jipe moyo na uwe consistent
 
Nimefanya kazi katika kampuni hii kwa miaka minne kama afisa manunuzi. Kutokana na ugumu wa soko, ikabidi team ya "sales" iongezewe nguvu na ndipo watu kutoka vitengo vingine ikabidi tuhamishiwe kitengo hiki.

Kwa wasiojua, Sales Officer kazi yake ni kutafuta wateja wa bidhaa za kampuni.

Katika maisha yangu, nilipanga mwaka 2020 haitavuka lazima nitaacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri kwa asilimia mia. Hivyo tayari nilikuwa najiwekea akiba na pia nilishaanza kufanya biashara yangu.

Kwanini nimeacha kabla haijafika 2020? Ni kwa sababu nimehamishiwa kitengo cha Sales. Nimeona si akili kutafuta wateja kwaajili ya kampuni kuanzia asubuhi mpaka jioni wakati namimi nina biashara yangu natakiwa kutafuta wateja.

Hivyo, nitatumia muda ambao nilikuwa natakiwa kutafuta wateja wa kampuni kutafuta wateja wa biashara yangu. Najua sio rahisi lakini nitaweza.

Usipotaka kujiajiri kutimiza ndoto zako basi utaajiriwa kutimiza ndoto za wanaume wenzio. Usiku mwema

12/12/2018, 09:12 Pm
Hongera. Ila huku si lelemama kama wengi wanavyoshadadia humu!

Kuna machungu ya kutosha....
 
Umefanyaa maamuzi magumu na mazuri piaa, kuajiliwa na kuolewa vinatofautiana kdg tu.
Kwan kuna tofauti gani kati ya Mshahara na Mahali? Au kusubiria majibu ya barua ya App na kusubiria uletewe barua ya posa?
Asalaaale njemba zinaolewa bila kujijuaa,

Hahaa TUCTA OYEEEE?
CCM OYEEEE?
25% OYEEE?

Shaaaabash tutakutana either kileleni au bondeni, hamna kubak katikati shwain kbsa, asahv kusurvive ni vitu viwili tu vinahtajka, either utumie ubongo au utumie ulimi, namaanisha uwe smart sana kichwani au uwe mnafk kiwango cha lami mdomoni
Umeongea point sana mkuu.... usawa huu ni kujilipua tu either utoboe ufike kilele cha mafanikio au ushindwe but not staying in between....
Get rich or atleast die trying
 
Chadema watakupinga vibaya sana

Kumbuka,
Maendeleo hayana chama mkuu
IMG-20181208-WA0000.jpg
 
Kila la kheri kujiajili kwa 80% kuna raha yake .....karibu sana hutapata kikubwa saaan ila japo kidogo mungu atajaalia
 
Nimefanya kazi katika kampuni hii kwa miaka minne kama afisa manunuzi. Kutokana na ugumu wa soko, ikabidi team ya "sales" iongezewe nguvu na ndipo watu kutoka vitengo vingine ikabidi tuhamishiwe kitengo hiki.

Kwa wasiojua, Sales Officer kazi yake ni kutafuta wateja wa bidhaa za kampuni.

Katika maisha yangu, nilipanga mwaka 2020 haitavuka lazima nitaacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri kwa asilimia mia. Hivyo tayari nilikuwa najiwekea akiba na pia nilishaanza kufanya biashara yangu.

Kwanini nimeacha kabla haijafika 2020? Ni kwa sababu nimehamishiwa kitengo cha Sales. Nimeona si akili kutafuta wateja kwaajili ya kampuni kuanzia asubuhi mpaka jioni wakati namimi nina biashara yangu natakiwa kutafuta wateja.

Hivyo, nitatumia muda ambao nilikuwa natakiwa kutafuta wateja wa kampuni kutafuta wateja wa biashara yangu. Najua sio rahisi lakini nitaweza.

Usipotaka kujiajiri kutimiza ndoto zako basi utaajiriwa kutimiza ndoto za wanaume wenzio. Usiku mwema

12/12/2018, 09:12 Pm
Hongera na kila la Kheri!
 
Team roho mbaya watasema umepiga ela..umesepa..All in all Wewe ni hero.bg up
 
Back
Top Bottom