Meya wa wilaya ya Ilala una mpango gani na Tabata, mbona mnafunga barabara ya Vingunguti wiki sasa hamfungui mnatutesa na foleni tu, barabara ya Tabata dampo haiishi muda sasa kila siku tabu. Sasa hivi na daraja la Ukonga nalo chali....Jerry Slaa hebu okoa jahazi hapa bwana hali ni mbaya kwa...
Mi nataka kujua kuhusu Nissan X-Trail,uzuri wake na matatizo yake kwenye matumizi ya kawaida
sasa hivi naona bongo zimekuwa nyingi tofauti na zamani watu walikuwa wanaziogopa
Duuhh kuna watu ni wadini mpaka noma...... wanatamani dunia nzima waishi peke yao
bora Mungu ametufanya tunazaliwa wote sawa ingekuwa kila dini wanazaliwa rangi yao ingekuwa tabu sana
kwa hiyo unataka kutuambia kuwa kelele za maeneo yaliyoidhinishwa ni nzuri kuliko za maeneo ambayo hayajaidhinishwa????hiv pale calabash hakuna makazi ya watu kwa nyuma?? vp kona bar hakuna makazi??meeda je hakuna makazi ?? vp pale igo hakuna makazi ya watu? halaf kumbuka kelele zote hizo ni...
hapa sidhani kama ni kelele tu ndo zinazoongelewa,mbona kuna mabar kila mahali na yanapiga mziki every day ma sioni anaelalamika.sehem kama igo,kona bar,liders,calabash wote hao ni wazaramo?
vp kule sumbawanga kuna utamaduni mzuri sana kule mbona hatuendi kuhamia huko, mtu anatoka singida nae eti anawaponda watu wa pwani duuu, mtu anatoka tarime hata kurudi kwao ni ishu ardhi yote wanaporwa na wazungu nao wanapnda eti,hebu check na wachaga nao wanaringia ardhi ambayo imeshajaaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.