Sio kila Mtanzania kasoma kwny shule za ruzuku
nafasi nyingi zinapaswa kuwa za kuomba badala ya za kuteuliwa kuepuka kuwapa watu wasiokuwa na interest
mf.kuna Mabalozi kadhaa kipindi cha nyuma nawafahamu waliteuliwa ili kuwaondoa eneo fulani au kuwakomoa na matokeo yake kule wakaenda kuwa...
Inawezekana tatizo lipo kwny mfumo wa Ajira wa kupata hao madereva.
Mifumo ya Ajira imebuniwa na kwa kusimamiwa kwa namna gani kupata Madereva wenye sifa.
Mie binafsi siamini kama Dereva asie na 'Mkubwa' akawa anajua ana kijiji kinamtegemea anaweza akafanya ujinga wanaofanya wale Madereva...
NHIF wasilete majibu mepesi kwa maswali magumu
NHIF wamewekeza wapi fedha za Michango ?
Wameleta fitna bima za watoto zikafutwa
sasa wanaleta fitna Wazee na wastaafu nao waondolewe
wanataka wabaki na Wafanyakazi pekee ambao rate yao ya kuumwa ipo chini sana kukwepa kubeba gharama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.