Umeme upo hapo ulipo kwa sasa?

Umeme upo hapo ulipo kwa sasa?

SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUOMBA RADHI KWA KATIZO LA DHARURA

1 APRILY, 2024.

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kilimanjaro linaomba radhi Wateja wake wote kutokana na hitilafu kwenye kituo cha kuzalisha Umeme (GRID) na kupelekea ukosefu wa Umeme kwa Mkoa mzima wa Kilimanjaro majira ya 08:45 USIKU huu wa tarehe 1/04/2024

Maeneo yanayoathirika:
Mkoa wa Kilimanjaro na Wilaya zake

Jitihada:
Mafundi wanaendelea na utatuzi ili kurejesha huduma ya Umeme katika hali yake ya kawaida.

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza wakati utatuzi unaendelea kufanyika.

Imetolewa na Ofisi ya;
Uhusiano na huduma kwa Wateja-TANESCO Kilimanjaro
 
April fool🤪🤪🤪 nchi nzima leo
 

Attachments

  • 38ce94f369284804a9509ccfa3fb09e2.jpg
    38ce94f369284804a9509ccfa3fb09e2.jpg
    63.1 KB · Views: 15
Mteja atakiwi kukosa huduma na bidhaa pande za Unguja haukauki, ukikatika ni 60sec's huu hapa!.
 
Back
Top Bottom