wengine humu hawajali shida za watu wanachojali ni kuwa net wapoteze muda hatuwezi kuendelea kiukweli! kwa mleta posti hiyo ishu bado japokuwa haileweki lini lakini kuwa attention kama unaweza ni pm namba yako coz mi nafuatilia huo mchakato na nina mtu wangu tunawasiliana kwa ukaribu ,,mungu...
Nitaongea kifupi japo ni stori ndefu, mwaka 2010 nikiwa form 4-6 Mtwango Sec, Njombe kuna mwanafunzi altokea kunipenda sana. Anavyonifata mimi alikuwa na mimba ya miezi miwili, mi sikumkataa nikajua labda ni mimba tu, basi nilijatahidi kuwa nae karibu ila kimapenzi nilkuwa namkwepa sana...
jamani hivi na madereva wanakuwa waandamizi, mzee wangu anaendesha gari ya serika toka mwaka 1982 had leo, hv mshahara wake unaweza kuwa kama ngapi hivi? manake mi kumuuliza noma c unajua mshua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.