Recent content by pochetino

  1. P

    Rais Magufuli, Kikwete na wafanyabiashara

    hapo umenena mkuu
  2. P

    Usaili wa wanataaluma Polisi Tanzania

    wengine humu hawajali shida za watu wanachojali ni kuwa net wapoteze muda hatuwezi kuendelea kiukweli! kwa mleta posti hiyo ishu bado japokuwa haileweki lini lakini kuwa attention kama unaweza ni pm namba yako coz mi nafuatilia huo mchakato na nina mtu wangu tunawasiliana kwa ukaribu ,,mungu...
  3. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    ni kweli mfupi mweupe ila jina sio lake kumbuka mwaka ule 4m four waliomaliza na mimba walikuwa kama saba hivi!
  4. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    aisee, nitafikiria wazo lako..
  5. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    asante kwa ushauri wako mzuri.
  6. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    asante wote mlionishauri, mnaolalamika mwandiko tatizo hamjui natumia simu gani kuwaclisha mada nimejtahd kubana space samahani kama cjaeleweka.
  7. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    Nampenda ila co kama mwanzo cjamuona five yrs nimeona picha zake tu!
  8. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    Nadhani nimeeleweka amesoma akiwa na mimba ndio!
  9. P

    Mke wa mtu anataka nimuoe

    Nitaongea kifupi japo ni stori ndefu, mwaka 2010 nikiwa form 4-6 Mtwango Sec, Njombe kuna mwanafunzi altokea kunipenda sana. Anavyonifata mimi alikuwa na mimba ya miezi miwili, mi sikumkataa nikajua labda ni mimba tu, basi nilijatahidi kuwa nae karibu ila kimapenzi nilkuwa namkwepa sana...
  10. P

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    uo ugonjwa afu na bro wangu nahisi anao kwa nilivyoelewa hizo dalili, sema ye anakula sana "kashumpe"
  11. P

    Mishahara ya SUMATRA kufuru

    jamani hivi na madereva wanakuwa waandamizi, mzee wangu anaendesha gari ya serika toka mwaka 1982 had leo, hv mshahara wake unaweza kuwa kama ngapi hivi? manake mi kumuuliza noma c unajua mshua.
  12. P

    Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

    kumbe ni history, nikajua uwezo umepungua, anyway sio mbaya tangaza zabuni mpya.
  13. P

    Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

    mkuu umenfurahisha sana hii imetulia
  14. P

    Kutoka Viwanja vya Ikulu: Sherehe ya kutunuku nishani kwa watumishi wa Umma

    shughuli imeisha naona wamemalizia na huyu koplo shupavu, hongereni sana!
Back
Top Bottom