Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

Aisee akitoka kwako lazima apite kwa yule muuza chips pale ndo atatuliza mzigo
 
Khaaaaa masaa sita? mi ningesepa bila kuaga, hiyo sio starehe tena
 
By applying Kagera Technology, this dames' sexual lust could be quenched definitely! Try it and you'll not be disappointed.
 
huyu binti nimekuwa nikimundaa vizuri tu wakati wa tendo mpaka anapizi kabla hata sijaanza kazi, cha kuashangaza kila mimi nikifika yeye anakuwa bado anahitaji tu juzi nimepiga kama goli nne gesti kwa kama masaa sita lakini yeye bado anataka tu namwambia hapana anaanza kulia na anataka.

Ikafikia mahali nikaishiwa nguvu mpaka naenda uwani miguu haina nguvu napepesuka kurudi namkuta kajibinua miguu imegusa ukuta anataka niendelee, kwa kweli nimeingia kwa tabu tabu nadhani nilipizi upepo na ikabidi nilazimishe tuondoke ingawa alikuwa bado anataka nipumzike kidogo alafu tuendelee tena.

Kwa kweli huyu ni mwanamke wa kwanza nakutana nae ambaye ni king'ang'anizi wa kusuguliwa nifanyeje ili niweze kumudu maana mashine yake inavuta fresh na yuko bomba, ila huwa najifikiria mara mbili mbili kabla ya kukutana nae walau niwe nimekula nyama au supu ila bado anatoka mwenye kuhitaji.

Nimfanyeje ili niweze kummudu?


ahahahahahaaaa.
Usiwe na papara
kuwa fundi kama xavi,
usiwe na papara kama hazard utachoka haraka
usiwe na uchu wa kufunga magoli kama ronaldo
jua kunyumbulika kama iniesta
usikate tamaa mapema kama rooney
usicheze kwa vurugu kama vidal au gatuso kuwa na stamina kama pogba
funga magoli ya ufundi na uhakika kama ibrahimovic
cheza faulo kwa ufundi kama pirlo, usiteleze teleze uwanjani kama gerard
cheza kwa malengo ya ushindi kama messi
usipende kupaki bus kama mourinho(romance na chumvini)
funga magoli ya vichwa kama varane.
Mwisho tembea na chaki kijana kama arjen roben
 
makolola

Nina uhakika uko under 30, iko hivi kuna baadhi ya wanawake ngono ndio hobby yao kwahiyo zaidi ya kumuandaa hakikisha round ya kwanza haipungui 30mnts na kila unapokaribia kumaliza chomoa kisha vuta pumzi tatu ndefu kuondoa carbon kwenye mapafu kisha rudi chimbo na unapomaliza round ya kwanza nyweshea nje ya kibubu !kwa njia hii mnyama hatodhoofika ila hakikisha umeshiba

Hapo kwenye red mshana jr huwa nashindwaga kabisaa
 
Last edited by a moderator:
makolola

Nina uhakika uko under 30, iko hivi kuna baadhi ya wanawake ngono ndio hobby yao kwahiyo zaidi ya kumuandaa hakikisha round ya kwanza haipungui 30mnts na kila unapokaribia kumaliza chomoa kisha vuta pumzi tatu ndefu kuondoa carbon kwenye mapafu kisha rudi chimbo na unapomaliza round ya kwanza nyweshea nje ya kibubu !kwa njia hii mnyama hatodhoofika ila hakikisha umeshiba

Hapo kwenye red mshana jr huwa nashindwaga kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha njoo rahatupu sniper na wadau wenzangu tukusaidie ushauri
 
Back
Top Bottom