Mke wa mtu anataka nimuoe

Mke wa mtu anataka nimuoe

Kumbe kuna shule za Upili wanaruhusiwa kusoma huku wakiwa na Ujauzito mkubwa kiasi hicho..
 
asante wote mlionishauri, mnaolalamika mwandiko tatizo hamjui natumia simu gani kuwaclisha mada nimejtahd kubana space samahani kama cjaeleweka.
 
ndugu endelea na maisha yako...yule tayari mke wa mtu na anafamilia....kwa nn uharibu familia ya watu?kama alikuwa hajampenda huyo mume wake angeondoka zamani, na kukaa mwnyw au na wazazi wake ila bado yupo nae...ss anachotafuta ni sehemu ya kukimbilia ambapo ndio kwako kwa sababu kamchoka mume wake...endelea na maisha yako, utampata mwanamke mtapendana na kuanza familia yenu..fikiri!
 
ndugu endelea na maisha yako...yule tayari mke wa mtu na anafamilia....kwa nn uharibu familia ya watu?kama alikuwa hajampenda huyo mume wake angeondoka zamani, na kukaa mwnyw au na wazazi wake ila bado yupo nae...ss anachotafuta ni sehemu ya kukimbilia ambapo ndio kwako kwa sababu kamchoka mume wake...endelea na maisha yako, utampata mwanamke mtapendana na kuanza familia yenu..fikiri!

asante kwa ushauri wako mzuri.
 
Ulimaliza Form Six??? Na mwandiko huo?? Chinekeee, wonders gwan no de end!!!!!!!!!
 
non...................................................... sence
 
pochetino

Huyo demu namjua ni mfupi mweupe hivi anaitwa Velonica!
pole we muoe ila mbeleni utajuta!
 
Last edited by a moderator:
jaribu kumuuliza mume wake utapa ushauri mzuri au siyo,feedback muhimu.
 
Huyo demu namjua ni mfupi mweupe hivi anaitwa Velonica!
pole we muoe ila mbeleni utajuta!

ni kweli mfupi mweupe ila jina sio lake kumbuka mwaka ule 4m four waliomaliza na mimba walikuwa kama saba hivi!
 
Back
Top Bottom