Mwisho wa siku wanataka tusijichukulie sheria mikononi. Sasa kama wahalifu hawawezi kushughulikiwa na sheria tuwaache waendelee kuishi na kuzaa wahalifu wengine watakaorithi tabia zao?
Sasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.