Waweza pita ila sio kwa honda xl 250r.walau kwa uchache ungekuwa na cc 400 ndo ungekuwa komfotabo halafu ni vizuri kuuma nyuma ya gari kubwa hasa mabasi maana yenyewe huwa kwa uchacje yanaenda 80km/hr
Sina hakika lakini nadhani utachagua adhabu moja kati ya hizo mbili
ukichagua kulipa faini basi utasubiriwa ulipe faini
Ukichagua kifungo utafungwa tu hata kama baadae utakuwa na hela zaidi ya hukumu ya mahakama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.