Maskin Jk ameshidwa kabisa hata kuusikiliza ushauri aloshauriwa na Mrisho mpoto ktk wimbo wake unaoitwa "Waite" tena kabla hata hajafanya uteuzi. Ok labda kwakua ccm hakuna tena anayefaa.
C kila unachofundishwa kitakusaidia. Swala la mapenz halina mfumo. Na zaidi ukitengeneza mazingira ya kupendwa daima hutofanikiwa ktk penz la kudum.. Mapenz ya sasa yapo kifashen zaid sitaki kuamini kama pesa ndio dawa mbadala yakumiliki penz ama mwanamke wakudum maishan, na kwamba mwanamke...
Tatizo tunafanya tusiyoyajua bila kujua kwa nini tunayafanya, et kwakua wengine wanayafanya. Ila ukijua unachokifanya kwakua uko tayari kwa unalolifanya hutokaa nakufikiria ubaya wa ulichokifanya nakutafuta visingizio wala kuja kuliweka wazi hapa.
Hahahab umenikumbusha jamaangu alioa mke. Hakuamin kilichotokea siku yake yakwaza tangu watoke honeymoon. Mke hajui hata kupika chai.. Jaman wenzenu kabla hatujaoa tulikua tunawatorosha wachumba zetu tunakaanao ghoto angalau week ama mwez ndio tunajifunza anakuaje akiwa ndan kama mke. Tatizo...
Kiukweli hii mitandao imerahisisha sana utongozaji. Ukiwa mjanja wa kuzitazama picha za hawa dada zetu zinakupa taswira nzima na uhusika wamtu kuanzia tabia had matamsh yake... Hapo huna haja yakuchokoza. Hakika nakuambia fbk imenipa mchumba hatimae mke. Nidada niliekuanae fbk kwa mda wa mwaka...
Sion tatizo kama mmeoana baada ya kuwaacha wapenzi wenu wazaman. Ila kama umeolewa ama kuoa mkiwa vigol kidogo unaweza fikiria kaz za shift nichangamoto ktk ndoa yenu
Angalia utakosa vyote! Nibora uende kwa huyo bosi wako ukamwombe msamaha kwa kumpa usumbufu mpaka boxa inachanoka ili akubake! Na kuufuta huu uz hapa ili uendelee kula bila kuonyeshewa chamoto.. Usisahau kubadilisha jina hat yake yanyumba eh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.