Recent content by pmama

  1. P

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    Hope nitafikia hapa Boss ,fremu za sehemu zilizochangamka ni bei sana bado sifikii bei
  2. P

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    Nipo wakuu ,Nashukuru kwa support yenu sanasana mbarikiwe . Nimepata msaada nimepata business partner pia .kijiwe kinaanza kuchangamka sasa . Naomba niwatangazie biashara. Kwa wenye watoto nina mzigo wa kuanzia miaka 0- 12 Pensi Gauni Skirts Blouse & tshirts Bei sawa na bure kuanzia 1000 -...
  3. P

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    [emoji22]nikifikiria kodi yangu mkuu naona bora nisikimbie, Mungu anitie nguvu tu
  4. P

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    Habari zenu, Dada yenu nimekwama tafadhali naomba mnisaidie, Nimekodi meza ya biashara soko la Tandika, nimeanza kwa kuuza nusu balo la skin jeans na nusu balo la blouse. Wiki sasa inakata mzigo hautoki mpaka nahofia kula pesa ya mtaji. Naomba kama kuna yeyote anaweza nisaidia balo la nguo za...
  5. P

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mzio waweza sababishwa na mrundikano wa sumu mwilini pia
  6. P

    Nimekata tamaa ya kuendelea kuishi

    Shukuru Mungu ,bado unanguvu na akili ya kupambana ,hivyo usiogope ni kwa kitambo tu . Alaf we ni baba unaweza kuwa "saidia fundi" kwa muda wakati unatuliza akili ili upate njia nyingine ya kuingiza kipato. Ukifa utaumiza mke na wanao maana bado hujawataftia solution ya kuweza kulipa hayo...
Back
Top Bottom