Nipo wakuu ,Nashukuru kwa support yenu sanasana mbarikiwe .
Nimepata msaada nimepata business partner pia .kijiwe kinaanza kuchangamka sasa .
Naomba niwatangazie biashara.
Kwa wenye watoto nina mzigo wa kuanzia miaka 0- 12
Pensi
Gauni
Skirts
Blouse & tshirts
Bei sawa na bure kuanzia 1000 -...
Habari zenu,
Dada yenu nimekwama tafadhali naomba mnisaidie,
Nimekodi meza ya biashara soko la Tandika, nimeanza kwa kuuza nusu balo la skin jeans na nusu balo la blouse. Wiki sasa inakata mzigo hautoki mpaka nahofia kula pesa ya mtaji.
Naomba kama kuna yeyote anaweza nisaidia balo la nguo za...
Shukuru Mungu ,bado unanguvu na akili ya kupambana ,hivyo usiogope ni kwa kitambo tu . Alaf we ni baba unaweza kuwa "saidia fundi" kwa muda wakati unatuliza akili ili upate njia nyingine ya kuingiza kipato.
Ukifa utaumiza mke na wanao maana bado hujawataftia solution ya kuweza kulipa hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.