Nyumba yako inanyufa kila mahali na inaelekea kuanguka ajabu haufanyi namna yoyote kunusuru hilo na wala hulioni,. ila unadili kwa jilan ambaye ndo kwanza nyumba yake anaipiga fnshng ..unafiki mbaya sana.
mkuu kwa kiasi kikubwa ndugu zetu au malafiki zetu huwa wanapendezwa sana tukiwaeleza matatiyo/changamoto zetu. jitahidi mafanikio yako ujieleza mwenyewe
mkuu kwa kiasi kikubwa ndugu zetu au malafiki zetu huwa wanapendezwa sana tukiwaeleza matatiyo/changamoto zetu. jitahidi mafanikio yako ujieleza mwenyewe
HAKIKA MKUU na bila kuisahau ngesujii ile ya wamasai..piga kazi ludi na kitu nyumbani maana nahisi bado tunasafali ndefu kujiletea ukombozi wa kweli kama taifa.
kwanza hongera kwa kulima mkuu, lakini natatizika na andiko lako kuhusiana na bei uloieleza nchi hi gunia la mpunga laki na thelasini? ni mkulima wa mpunga tena mzoefu nalimia mbeya mahala nilipo gunia ya debe 10 na laki 1 tu..nb kwa kiasi furani mwaka huu wakulima tumepigwa za uso kipato na...
yeah hapo upo sawa dadang, nikweli mala zote mwanamume humpa uhulu mke wake atimize mambo madogo madogo lakn likija suala la maamzi makubwa yanayohusu familia yenu ni lazima mwanamke uwe mtoa maoni tu, haijalishi unakipato cha aina gani. ndo mana nilipinga lile andiko dada.
mkuu umeongea kitu wengi tunataman lakini tambua kanuni za ulimwengu ni kuwa kuna mtawala na mtawaliwa sasa bahati nzuli wewe me umepewa kutawala je unakubali vip ke tutoke ngoma droo wkati kila kitu ke anategemea kutoka me? usikate tamaa hivo hawa viumbe tumeumbiwa sisi me.
sawa naheshimu msimamo wako lakini lejea aya ya pili ya andiko..,nanukuu (mwanamke anapokuwa na uwezo wa kifedha anaweza kufanya maamuzi yake pasina kutegemea maamuzi ya wengine.)najua inawezekana upo kwenye ndoa, je unadhani ni sahihi kwakuw mwanamke unajiweza ndio ufanye maamzi bila...
inawezekana kweli kuandika sijui lakini sijajua umewezaje kunijibu ikiwa kuandika sijui, mana huwezi kujibu kitu kisichoeleweka kama hujakielewa. na kama wewe ni mwalim wa kiswahili subili julai shule zifungue. mkuu tuheshimiane hapa hatupo kufundishana namna yakuandika sikuona ulazima wa wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.