Recent content by Pluto thnker

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu wakulima ni mwaka hasara ama faida kubwa. Ila pole sana

    Mkuu npo mbarali mvua upande nilipo hakuna na kama unavojua mpnga unataka maji ya kutosha hapa tnaminya mbupu tu...ingawa dalili si mbaya sana
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tariq kumwagiwa acid usoni, nishakutana na huo msala. Ni Mungu tu

    Najaribu kuwaza,..kama hilo tukio ni miaka kadhaa imepita,je ametuhalibia watoto wetu wangapi hapo shuleni pake kwa kuwapandikiza hiyo tabia chafu akilin mwao!? Ni busara ukatoa maeneo ilipo
  3. P

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Wacha niisubili kesho ikiwa, itabid niagize bapa langu..
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ni nani anasema kwenda kwa mganga wa kienyeji ni dhambi !? Huo ni upotoshaji

    mkuu heshima yako,usituache bila konekshen tafadhal
  5. P

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    huwa nakuelewa sana jinsi unaongea ukweli japo wengi huwa tunapenda kusikia yale tunayoyataka na si vnginevyo..ili tuishinde hii vita tunaitaji akili na kutumia kila aina ya mbinu itakayo tusaidia..
  6. P

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete: Siri za serikali zinavuja mtandaoni, hii ni kuonyesha baadhi ya Watumishi umma hawana maadili

    kama yeye alishindwa kuweka siri wote tukajua kuwa yeye ndo anamiliki lake oil,basi ni batili yeye kuwaaambia watumishi wauma watunze siri za serikakali,
  7. P

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jeshi la Polisi Mbeya lakiri kumshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za Uchochezi

    Aisee had machawa wanakamatwa!
  8. P

    JamiiForums Tanzania Frank Olson: Afisa wa CIA aliyekufa baada ya kuonjeshwa sumu yake Mwenyewe

    Mkuu nimechelewa sana kuiona hii.heshima kwako mana nimeona uliniita. Haya ndo mambo yangu.
  9. P

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN, Larry Madowo, mmezionesha Media zetu jinsi uandishi wa habari unavyotakiwa kuwa

    Bongo media zote zmetekwa..ila tusiwalaum mana hawana namna watafanza.. Kuna radio moja hpa mbeya naikubali sana hawajawah kuwa wanaa, wamenyooka sana, * heshma kwnu
  10. P

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Kwanini Wanu Hafidh Ameir Hakupaswa kuwa Naibu Waziri wa Elimu

    Nitajikita hapo mwishoni ulivomaliza...MAMA RAIS, MTOTO WAZIRI, MKWE WAZIRI! tumefika mbali sana kama nchi,.hawaoni hata soni daaa!
  11. P

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni ameona nilichoona, katika hili niko pamoja nae

    ujinga mtupu!
  12. P

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilichotokea ni Jaribio la Mapinduzi lililofeli

    Ama hakika umejua kulibagaza jina la nyerere
  13. P

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Aisee ama kweli elimu ni bahari..
  14. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    natumai utapata mana vgezo vyako vmebalance., hasa nmepend ile point yako ya kupiga vyombo kias..
Back
Top Bottom