mkuu ninauzoefu na biashara ya mpunga huku mbeya ila ningepata abc za mbaaz, korosho na ufuta huwa nazitaman san kuzifanya. Npe abc tafadhal yn msim n mwez up na uuzaj wake upo vp mkuu.
nadhani mwaka umepita mpo kwenye mahusiono nae bado hukuweza kuanza kumjua vyema talatibu!,ulipaswa kumsogeza kalibu nawe mana kama yupo mbali unadhan ni lini utamjua vyema sasa? mtumie dadako alokuunga naye hakikisha yeye na dadako safal za kuja kwako hazipungui na utumie mda huo kumjua...
akiwa kama amilijeshi mkuu alitoa go ahead kwa yale yaliyotokea lawama ni zake na anastahili. na sidhani kama sheria zetu znaeleza kuwa mtu anayefanya fujo asiye na silaha ya moto anapaswa kupigwa chuma za kichwa. pia kumbuka wananch tunapaswa kutii sheria wakat huohuo mamlaka zinapaswa kujua...
nje ya maada.. kwanza heshima yako mkuu kama miaka ya sitini katikati ulikuwa unajitambua kiasi leo umkumbuke huyo mzee,. na bado tupo pamoja jukwaani.ninahofu utakuwa ni uzee tu mkuu hakuna lolote la ajabu .
Write your reply...nilikuw napenda kusoma nyuz za jf toka nipo shule 2012na nkajagundua humu kuna ma great sinka kwelikweli kama walivopenda kujiita, so baada ya miaka 13 kupita bila kuwa na akaunt ya jf nikapata wazo nijumuike nanyi mana nlikuwa mpweke sana ndo nkapata wazo nijiite hvo ila niwe...
Namashaka sana na Msigwa kuludi cdm, mtu pekee aliondoka cdm na kuludi sikuwa na shaka nae ni dokta slaa tu. maana yule mzee alionelea ni bora aachane na siasa kuliko kukubali mbowe amlete mzee lowassa nae abaki..hakuwa mnafiki si hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.