Recent content by Pluto thnker

  1. P

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    mkuu watibeli hatupohivo,. ko umetutamanisha hujatueleza shida yake,! we taikoni sijui umepatwa na nin.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    mkuu ninauzoefu na biashara ya mpunga huku mbeya ila ningepata abc za mbaaz, korosho na ufuta huwa nazitaman san kuzifanya. Npe abc tafadhal yn msim n mwez up na uuzaj wake upo vp mkuu.
  3. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    nadhani mwaka umepita mpo kwenye mahusiono nae bado hukuweza kuanza kumjua vyema talatibu!,ulipaswa kumsogeza kalibu nawe mana kama yupo mbali unadhan ni lini utamjua vyema sasa? mtumie dadako alokuunga naye hakikisha yeye na dadako safal za kuja kwako hazipungui na utumie mda huo kumjua...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kim Philby: Jasusi wa MI6 aliyesaliti kila mtu mpaka kivuli chake mwenyewe

    nipo hapa mkuu, mambo ni fayaaa!!
  5. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    pole sana dogo, kwanza kwanini unahofu na huyo binti?
  6. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wangu kama 'Stepfather' baada ya kuwa na Single mother

    aisee mwamba unamoyo kwelikweli,
  7. P

    JamiiForums Tanzania Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    Write your reply...mkuu bado miezi mi4,ludi tuanze jalamba kwenye huu uzi
  8. P

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama, hakuwaua watoto wenu. Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani

    akiwa kama amilijeshi mkuu alitoa go ahead kwa yale yaliyotokea lawama ni zake na anastahili. na sidhani kama sheria zetu znaeleza kuwa mtu anayefanya fujo asiye na silaha ya moto anapaswa kupigwa chuma za kichwa. pia kumbuka wananch tunapaswa kutii sheria wakat huohuo mamlaka zinapaswa kujua...
  9. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ila wanawake hela mlitengenezewa nyie

    wanawake bana, sijui huwa wanatuchukuliaje!
  10. P

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na kitu cha ajabu sana

    nje ya maada.. kwanza heshima yako mkuu kama miaka ya sitini katikati ulikuwa unajitambua kiasi leo umkumbuke huyo mzee,. na bado tupo pamoja jukwaani.ninahofu utakuwa ni uzee tu mkuu hakuna lolote la ajabu .
  11. P

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wako wa JamiiForums (jina) chanzo chake ni nini?

    Write your reply...nilikuw napenda kusoma nyuz za jf toka nipo shule 2012na nkajagundua humu kuna ma great sinka kwelikweli kama walivopenda kujiita, so baada ya miaka 13 kupita bila kuwa na akaunt ya jf nikapata wazo nijumuike nanyi mana nlikuwa mpweke sana ndo nkapata wazo nijiite hvo ila niwe...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Hakika mkuu.,majukwaani aliisema vbaya cdm na si mbowe..huyu ni tamaa na njaa tu.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ikumbukwe: MBOWE ndio mpangaji wa vurugu zilizomuondoa Msigwa CHADEMA. Mbowe alitaka pia awafute akina Lissu, Heche!

    Namashaka sana na Msigwa kuludi cdm, mtu pekee aliondoka cdm na kuludi sikuwa na shaka nae ni dokta slaa tu. maana yule mzee alionelea ni bora aachane na siasa kuliko kukubali mbowe amlete mzee lowassa nae abaki..hakuwa mnafiki si hawa
  14. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini Wanawake wa Kipare wanajiona wao ndio wana Soko kubwa sana kwenye Mahusiano tofauti na Wanawake wa Kichagga?

    upo sawa sana mkuu ninapis yangu ya kipare hyo inajiamn na kujikubali kupita maelezo sema n vile inanielewa t.. binti mvng mungu anakuona.
Back
Top Bottom