Recent content by Pluto thnker

  1. P

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ingekuwa na wanachama laki 4 tu na wote wakachangia Tshs 1,000. Wangekuwa na Milioni 400

    akili ndogo huyo hta hakuelewa namna ulivomjibu kwa fasihi ye akajua wew mwenzake.! inasikitisha sana!
  2. P

    JamiiForums Tanzania Ni Muda Muafaka kwa CHADEMA Kumsimamisha Haraka Uongozi John Heche Ili Kufanya Uchunguzi Wa Kina wa Tuhuma Zinazomkabili Ili Kurejesha Imani

    Nyumba yako inanyufa kila mahali na inaelekea kuanguka ajabu haufanyi namna yoyote kunusuru hilo na wala hulioni,. ila unadili kwa jilan ambaye ndo kwanza nyumba yake anaipiga fnshng ..unafiki mbaya sana.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukimueleza mtu mafanikio yako anakasirika?

    mkuu kwa kiasi kikubwa ndugu zetu au malafiki zetu huwa wanapendezwa sana tukiwaeleza matatiyo/changamoto zetu. jitahidi mafanikio yako ujieleza mwenyewe
  4. P

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukimueleza mtu mafanikio yako anakasirika?

    mkuu kwa kiasi kikubwa ndugu zetu au malafiki zetu huwa wanapendezwa sana tukiwaeleza matatiyo/changamoto zetu. jitahidi mafanikio yako ujieleza mwenyewe
  5. P

    JamiiForums Tanzania Askari wa JWTZ wazagaa na bunduki mitaani huko Arusha

    HAKIKA MKUU na bila kuisahau ngesujii ile ya wamasai..piga kazi ludi na kitu nyumbani maana nahisi bado tunasafali ndefu kujiletea ukombozi wa kweli kama taifa.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya forex ilivyonifilisi na kuniacha na madeni

    pole sana mkuu.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tuliolima mpunga sasa gunia ni Tsh. 130,000/= halafu kijana unashadadia maandamano

    kwanza hongera kwa kulima mkuu, lakini natatizika na andiko lako kuhusiana na bei uloieleza nchi hi gunia la mpunga laki na thelasini? ni mkulima wa mpunga tena mzoefu nalimia mbeya mahala nilipo gunia ya debe 10 na laki 1 tu..nb kwa kiasi furani mwaka huu wakulima tumepigwa za uso kipato na...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Dunia tambala bovu ambalo halimsafishi mtu uchafu wake bali humchafua mtu kutokana na usafi wake

    mkuu heshima yako, jana mda kama huu nimepata andiko bora leo vivyo hivo,inawezekana ma grit sinka hi ndo mida yenu heshima kwako.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    yeah hapo upo sawa dadang, nikweli mala zote mwanamume humpa uhulu mke wake atimize mambo madogo madogo lakn likija suala la maamzi makubwa yanayohusu familia yenu ni lazima mwanamke uwe mtoa maoni tu, haijalishi unakipato cha aina gani. ndo mana nilipinga lile andiko dada.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    mkuu umeongea kitu wengi tunataman lakini tambua kanuni za ulimwengu ni kuwa kuna mtawala na mtawaliwa sasa bahati nzuli wewe me umepewa kutawala je unakubali vip ke tutoke ngoma droo wkati kila kitu ke anategemea kutoka me? usikate tamaa hivo hawa viumbe tumeumbiwa sisi me.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    sawa naheshimu msimamo wako lakini lejea aya ya pili ya andiko..,nanukuu (mwanamke anapokuwa na uwezo wa kifedha anaweza kufanya maamuzi yake pasina kutegemea maamuzi ya wengine.)najua inawezekana upo kwenye ndoa, je unadhani ni sahihi kwakuw mwanamke unajiweza ndio ufanye maamzi bila...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Hivi CCM wanafaidika nini na na Muungano?

    inawezekana kweli kuandika sijui lakini sijajua umewezaje kunijibu ikiwa kuandika sijui, mana huwezi kujibu kitu kisichoeleweka kama hujakielewa. na kama wewe ni mwalim wa kiswahili subili julai shule zifungue. mkuu tuheshimiane hapa hatupo kufundishana namna yakuandika sikuona ulazima wa wewe...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    saw naja nazo dada, lejea andiko je unaona ni sawa ukiwa mke wa mtu kwa point alizoleta muandishi?
  14. P

    JamiiForums Tanzania Msafara wa CHADEMA ukiwa Kasi kuwahi mikutano ya Chama Kanda ya Nyasa

    Huenda ni MUNGU tu
  15. P

    JamiiForums Tanzania What is your dream car?

    kwa mitikas zangu wish nipate nissan patroo,ila ndo hvo tena kaka mkubwa
Back
Top Bottom