umeongea ukweli mtupu,ni mhimu tofauti zetu zisitugawe iwe za dini,muungano, au katiba mpya..ila bahati mbaya mwananchi hasikilizwi..na kwaupande mwinge watanzania (nikiwemo)tunaweza kujisifu mana tumeonyesha uvumilivu sana na kuonyesha jinsi kiasiri tulivyo na subira kwa mambo...
kwa mtazamo wangu.Nadhani maria ni mwanahalakati na chadema ni chama kikuu cha upinzani, sidhani kama cdm wanamtumia huyo,ila mambo anayopambania maria na madai wanayoyapambania cdm yanaelekeana mana wote tunajua.
mambo ni mazito haya,kwa ninavyoona inawezekana ema kujiuzuru ni mpango maalumu ili aje VP ambye anapaswa kushika kijiti, huyu no1 inawezekana akapelekewa moto na akajiuzulu kabla ya029 ,ili mambo yaendelee kuwa upande wao.zile kauli za ema si za bahat mbya na wala si kwamba anaumizwa na mambo...
kwa hili pindi nalopewa hakika najifunza kitu. j 5 nilikuwa naona kama mbali vile mara paaap! imefika.. wacha niwe live sasa mana tayali nimeon ishaletwa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.