hapana mkuu sina chama, ingawa napenda kuheshim mamlaka iliyopo.. ingawa wanasema siasa ndizo huamua hatima yetu mimi huwa napendelea kazi na jitihad zangu ziniamlie maisha yangu.
hakika mzee, ila semanini,tupige kazi tupelekee familia mkate wa kila siku na kujipa laha wenyewe kama hivo mkuu, mana siasa zetu ukizifikilia sana unaweza kupata sonona,
Mkuu kwanza,habari ya asubuhi na umeamkaje? Mbna hujawaweka wanyakyusa hapo? Maana mi nimeoa huyo na n mzuri kinoma na adabu pia.NB wanawake wengi ni wazuri nchi hii ni bahat yako tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.