Najaribu kuwaza,..kama hilo tukio ni miaka kadhaa imepita,je ametuhalibia watoto wetu wangapi hapo shuleni pake kwa kuwapandikiza hiyo tabia chafu akilin mwao!? Ni busara ukatoa maeneo ilipo
huwa nakuelewa sana jinsi unaongea ukweli japo wengi huwa tunapenda kusikia yale tunayoyataka na si vnginevyo..ili tuishinde hii vita tunaitaji akili na kutumia kila aina ya mbinu itakayo tusaidia..
kama yeye alishindwa kuweka siri wote tukajua kuwa yeye ndo anamiliki lake oil,basi ni batili yeye kuwaaambia watumishi wauma watunze siri za serikakali,
Bongo media zote zmetekwa..ila tusiwalaum mana hawana namna watafanza.. Kuna radio moja hpa mbeya naikubali sana hawajawah kuwa wanaa, wamenyooka sana, * heshma kwnu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.