Recent content by Pluto thnker

  1. P

    JamiiForums Tanzania Nana dolls

    mtoto n mzuri huyoo!
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    hakuna shida mkuu, kwanz huwa napenda ile alfajili wanavo niamsha kwa ile swala,inanisaidia kuwahi kibaruani kwangu
  3. P

    JamiiForums Tanzania Funzo kutoka kwa Elevenn/de Gunner

    Aisee, we jamaa wewe
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kitaalamu hii imekaaje,Je MZUNGU anaweza kumuongezea DAMU MUAFRIKA MWEUSI na je haibadili DNA?

    umemjibu vema sana,, mtu anauliz ili ajue, na si kumjibu namna aloijibu huyu mwamba
  5. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    pa1 mkuu ,ila kuwa makini mida hi na vibaka unavoludi mtaa.
  6. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    hakika mwamba tupambane tu hakuna namna nyingine.. ila naona kuna code umeiweka hapa mwamba,
  7. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    hapana mkuu sina chama, ingawa napenda kuheshim mamlaka iliyopo.. ingawa wanasema siasa ndizo huamua hatima yetu mimi huwa napendelea kazi na jitihad zangu ziniamlie maisha yangu.
  8. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    hakika mzee, ila semanini,tupige kazi tupelekee familia mkate wa kila siku na kujipa laha wenyewe kama hivo mkuu, mana siasa zetu ukizifikilia sana unaweza kupata sonona,
  9. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    ohooo,mkuu kwani kutakuwa na tamko mida hii?
  10. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    hey wazee mmembonji?
  11. P

    JamiiForums Tanzania Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

    nje ya mada, we manzi unamguu mzuri, kwakuwa masai dada mnajuana embu tuwekee na kapicha ka mguu wake wakulungwa tuone yupi mkolofi kati yenu.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Ni kabila lipi lina watoto wazuri?

    Mkuu kwanza,habari ya asubuhi na umeamkaje? Mbna hujawaweka wanyakyusa hapo? Maana mi nimeoa huyo na n mzuri kinoma na adabu pia.NB wanawake wengi ni wazuri nchi hii ni bahat yako tu
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    mkuu kama hutojali fanya utupe kisa chako kidogo kuhusu huyo mchungaji.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Pole sana mwamba, wanaume tunapitia mengi sana lakini hatutakata tamaa.
Back
Top Bottom