Recent content by Pluto thnker

  1. P

    JamiiForums Tanzania FREE MIN MEE

    nafikili ataludi huenda yupo bize na kupampania kombe, tujipe mda kidogo mkuu.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi hajui kuwa hakuna kiapo kisicholindwa na Sheria/kanuni sijajua kwanini chadema wanamtumia huyu madam

    kwa hilo sikulijua,japo siwezi kupinga au kulikubali mkuu.
  3. P

    JamiiForums Tanzania TANZANIA ISITUMIKE KUJIHARIBU: TAHADHARI KWA WANANCHI

    umeongea ukweli mtupu,ni mhimu tofauti zetu zisitugawe iwe za dini,muungano, au katiba mpya..ila bahati mbaya mwananchi hasikilizwi..na kwaupande mwinge watanzania (nikiwemo)tunaweza kujisifu mana tumeonyesha uvumilivu sana na kuonyesha jinsi kiasiri tulivyo na subira kwa mambo...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi hajui kuwa hakuna kiapo kisicholindwa na Sheria/kanuni sijajua kwanini chadema wanamtumia huyu madam

    kwa mtazamo wangu.Nadhani maria ni mwanahalakati na chadema ni chama kikuu cha upinzani, sidhani kama cdm wanamtumia huyo,ila mambo anayopambania maria na madai wanayoyapambania cdm yanaelekeana mana wote tunajua.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mchumba anahitajika kwa ajili ya ndoa ndani ya mwaka mmoja.

    unataka bikra wa 24years? ukimpataa ulete mlejesho mkuu ili nami nipost uhitaji wa kupata manzi bikra.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    bado mambo yatakuwa ni yaleyale kulingana na katiba isemavyo.
  7. P

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    wezee nivip
  8. P

    JamiiForums Tanzania Hidden cancer cures

    daa sijui nilichelewa wapi kuipata hii elimu
  9. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Simbachawene ameamua kuidai Tanganyika na kutaka uwajibikaji ndani ya CCM

    kama hii barua n ya kweli, hao jamaa hpo juu kitu kitakuwa kinagonga kitu ktakuwa kinalud kwny pichu.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    mambo ni mazito haya,kwa ninavyoona inawezekana ema kujiuzuru ni mpango maalumu ili aje VP ambye anapaswa kushika kijiti, huyu no1 inawezekana akapelekewa moto na akajiuzulu kabla ya029 ,ili mambo yaendelee kuwa upande wao.zile kauli za ema si za bahat mbya na wala si kwamba anaumizwa na mambo...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa Amlipua Rais Samia na CCM; Asema Utawala Unatengeneza Maadui na Hofu Nchini

    huyo amepoteza kuaminiwa na jamii hivyo anatafuta pakutokea tu. anataka apite na upepo wa sasa.. hana jipya msaliti yule!
  12. P

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuhitimisha ushahidi Mkuu leo, Agosti 26, 2026 Mahakamani

    tupo pamoya mukuu! shusha vitu!
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kufatikia kesi ya mpigania haki kiki za akina nchimbi tuzipuuze.

    kwa hili pindi nalopewa hakika najifunza kitu. j 5 nilikuwa naona kama mbali vile mara paaap! imefika.. wacha niwe live sasa mana tayali nimeon ishaletwa,
Back
Top Bottom