Recent content by plugin

  1. P

    Kama kuna mwanafunzi anasoma tahasusi CBG na HGE imekula kwake. NECTA yazifuta rasmi

    Akija Mwengine anazidudisha . Hapa tungefundishana kufuga Ng'ombe / kilimo mtu unabobea humo miaka Saba ha PhD nadhani tungekuwa mbali Sana kiuchumi. Yaan tusome Practical kwoledge
  2. P

    Tahadhari kwa watumiaji wa Uwanja wa Ndege JK Nyerere. Ujenzi wa mwendokasi NYERERE ROAD umeanza, foleni ni hatari

    Mbadalaa upo Kuna nja Ile Andaliliwa kwa ujenzi wa treni ya Mwendo kasi inaanzia Kariakoo Hadi Pugu Kwakuwa Ujenzi wa treni Kwa Upande wa DSM upo teari hiyo barabara ingetumika kwa Magari kupunguza foleni na kuongeza kasi ya Ujenzi wa Barabara kwakuwa hakuna ghasia .
  3. P

    Naomba kufahamishwa kuhusu mkoa wa Singida

    Pambana Uwe Raisi uje ufanye Maamuzi hayo
  4. P

    Jinsi trafiki Dar wanavyopata pesa bila kutumia nguvu

    Kama umemaliza kwa Tarafiki anaechukua elfu mbili (2000) Sasa unaeda kutuletea habari za wapi TRA, Bandalini, Tanesco, Ma wizarani humo ? Ili Tuone nao wanachukua elfu mbili ? Baada ya hapo Utakuwa umetuletea habari kamili.
  5. P

    Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

    Umewahi kuona hizo penseni kwa wanajeshi ?
  6. P

    Magari ya Jeshi kwa makusudi hawaheshimu Sheria za Usalama barabarani

    Unahisi kwanini ambulance haifuati Sheria ? Inapita kwenye Taa nyekundu na inapishwa na Magari Mengine . Ukipata majibu utapata majibu kwa hiyo hoja yako . Take note . Ambulance base on afya na uhai wa mwanadamu Na huku Kwingine base kwenye core subject Yao dhidi ya faida kwa binadamu
  7. P

    Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

    Mbona Kuna wanasiasa pia unakuta wote Ni wafamilia moja na wanasongesha tu maisha Pamoja na changakoto za Siasa
  8. P

    Je, IGP Sirro amepandishwa cheo? Naona nyota moja imeongezeka begani

    Hapana kile pale mwisho Ni Kifungo Cha Kufungia hinyota . Umechanganya Sio nyota moja Ile Ni Kifungo.
  9. P

    Pongezi kwa aliyebuni wazo la nembo ya taifa round about ya morogoro

    Kiuhalisia unapotakiwa kutuchora kitu au brand iliyo thibitishwa na kuanza kutumika .Inatakiwa uchole Kama ilivyo usiongeze au kupunguza kitu.
  10. P

    Kuna pengo kubwa sana la Zawadi Mauya Taifa Stars

    Manula anadakia uzoefu Metacha anatosha Zaid ya Manula . Hakutakiwa kufungwa Yeye ndio anawapanga beki anaona nafasi ya goli kafungwa Kama kawa magori yake ya mbali
  11. P

    Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

    Kwani hizo tabia Hadi wanaoana hakuwahi kuzijua ! Au Mwanamke nae alitumwa kamaliza kazi yake ameludi kazn kupewa kazi nyingine ! Ilikuwa n mission ya kumleta Ahamie Yanga zoezi limekamilika Basi. Pia wapo wanawake ambao hutaka Ile heshima kwamba Alisha wahi kuolewa na Sasa ataki Tena kuishi na...
Back
Top Bottom