Kadhalika njia ya kijereshi kuelekea machinjioni nayo iko taabani ni mbovu mnoo.
Kuna soko la gulio hua liko katika njia hiyo ni hatari mnoo . Barabara inakua finyu na madimbwi kibao.
Lile eneo lenye kitete kwanini msiliboreshe ili wafanyabihashara wafanye gulio lao kwa nafasi na sio kufanya...
Tunachokitaka wananchi ni barabara irekebishwe kwa kiwango cha lami , zege au morum. Kuanzia pale nile perch mpaka kakebe.
Haiwezekani gari za kakebe ziishie mhandu kanisani kisa barabara mbovu na mamlaka ipo. Kuna kidaraja uchwara kilijengwa maeneo ya kakebe shule ya msingi mpaka leo kameachwa...
Barabara hii ni muhimu kwa shughuli za kiuchumi kwa maana kuna viwanda vingi maeneo hayo, soko kubwa la vyakula na machinjio kubwa ya ng'ombe.
Jambo la kushangaza kuna daladala zinazoenda maeneo mbali mbali ya jiji zinapita hapo ila barabara ni mbovu kupitiliza na haipitiki vyema kipindi cha...
Unataka kutetea nini?.. Huoni kua inawaumiza wananchi wa kawaida huu uhuni wa kwenye daladala. Yawezekana wana hoja za msingi wasikilizwe ila nao waache uhuni ili watoe fair service mambo yaende. Vinginevyo wawaache wenye bajaji nao watoe ushindani.
Halafu daladala nyingi zina uhuni wa ajabu ajabu. Mfano nauli kila mtu ana bei yake, huyu atakuambia 900 yule atakuambia 800.
Jambo la pili kukatisha route. Mfano gari la airport - Nyashishi mida ya jioni wanasema wanaishia mkuyuni. Wakifika mkuyuni wanashusha wanapakiza tena mpaka buhongwa...
Wakuu kuna mgomo wa daladala toka alfajiri ya leo.
Shida nasikia ni mgomo unatokana na bajaji kuingilia route zao.
Hali ni tete na ni mgomo wa njia zote za daladala. Wananchi wanatembea na bajaji , malori na vi kirukuu ndo vinapakiza abiria kwa wingi.
Kuna rafiki yangu ni muhamga alifanya interview Dar ya kuandika then akafaulu akaenda dodoma kufanya mahojiano. Toka mwanzoni mwa mwaka mpaka sasa matokeo hayajatoka ya kupangiwa vituo vya kazi.
Hili jambo sio sawa la linaleta taswira ambayo sio nzuri.
Tumekua tukiona kama kuna mikutano ya injili au shule inakaribia udahili, tution n. K basi mabango ya matangazo hubandikwa kiholela kila sehemu.
Ukienda pale ubungo, flyover inapendeza ila imechafuliwa na mabango kedekede ya makaratasi tena yameisha muda wake na bado yapo na yanaharibu taswira...
Kilimo ni sayansi ya mifumo ya uzalishaji mimea, ufugaji wa wanyama , na uvuvi wa samaki. Mara nyingi kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wa wanyama, sababu kuna kutegemeana kati ya mimea na wanyama. Wanyama hutoa mbolea katika ukuaji wa mimea na mimea hua ni chakula cha wanyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.