Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,417
Ndio Mana hapa mtu akiwa huko juu na biashara anapiga pin kuwa Hakuna mwingine kuingiza huo mzigo nchini anabakia yeye mwenyewe kuwa msambazaji pekee. Ama akipita pale bandarini ushuru huo hausemi. Biashara Ni ushindani . Viwanda vya sukari vinalindwa hakuna sukari ya nje Kama sio ujamaa Ni Nini. Yaani maslahi ya wakubwa yanalindwa. Ila nyumbu Hana thamani anakanaygwa na kuliwa.Watu wa daladala wakubali tu nyakati zinabadilika. Dunia ipo kasi sana