Pole sn kijana mwenzetu, unaonyesha ni kwa jnc gani unakerwa sn na uozo wa mafisadi wa taifa hili, Mungu akujalie upate afya njema na hatimaye urudi tupambane jm kawaida.
Ni kweli kuna watu wanatumika kuichafua CHADEMA, But chama kitaendelea kusimama kama kawaida, Kamanda lisu tuna imani kubwa sn na wewe! Kaza buti, simamieni chama na kuhakikisha kuwa UKOMBOZI WA 2 WA TAIFA HILI DHALIMU UNAPATIKANA.
Tunakoelekea ni kupataTAIFA lenye wasomi MBUMBUMBU, ona sasa kwa hli, serikali/wizara iache Longolongo, Ukweli ni kwamba ufaulu wa wanafunzi hali c shwari.
Duh! Namkubali sn Kamanda Tundu Lisu, najua uwezo wake ktk kujenga na kutetea hoja, tatizo hawapewi muda wa kutosha, then mnapofanya hvo, hebu tafuteni kidogo mtu mwenye uwezo wa kujibizana na mtu km Lisu, huyo waziri atatwambia nini sie thinkers?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.