Recent content by Plan Master

  1. Plan Master

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Pole sana ishi nao tu hakuna namna
  2. Plan Master

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta ana mifumo hatari sana asilimia kubwa ya makocha na wachambuzi wameshaanza kumuogopa.
  3. Plan Master

    FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

    Kweli kabisaa hatimaye chura kashindwa kumzuia tembo kunywa maji
  4. Plan Master

    Hatimaye nimempata!

    Usiache kumuomba Mungu kila siku maana na wabaya watasogea karibu ili usiendelee kupata furaha.
  5. Plan Master

    Hatimaye nimempata!

    Leejay49 hongera sana na ikawe heri mfikie malengo yenu wewe ni miongoni mwa wanawake naowakubaligi hapa jamvini huna baya na mtu.
  6. Plan Master

    UPDATE: Vifo vya Ajali Ngaramtoni vyafikia 25

    Pole kwa wafiwa wote pole kwa wakazi wa jiji la Arusha na pole kwa Tanzania kwa ujumla, Mungu awape faraja katika nyakati hii ngumu yenye majonzi kwa kuwapoteza ndugu zetu.
  7. Plan Master

    Ukipata milioni unaila siku tatu, ikibaki elfu kumi unaishi nayo week. Hii kitaalam mnaiitaje?

    Tumieni pesa kwa nidhamu pia msisahau kuitengeneza vyanzo vya kupata pesa
  8. Plan Master

    Wadada wa humu niacheni

    Acheni kumuonea maua
  9. Plan Master

    Wadada wa humu niacheni

    [emoji2][emoji2]
Back
Top Bottom