Recent content by Pkhalfan

  1. Pkhalfan

    Unakumbuka wanyonya damu mashuleni?

    Mmenikumbusha mbaliiiii
  2. Pkhalfan

    Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

    Madiwani wawili wa chadema wakamtwa kigoma kwa madai sio raia
  3. Pkhalfan

    ElimuTiba: Jinsi ya kujieleza kwa Daktari

    Kuna tatizo limemtokea mdogo wangu ameota meno mawili ya juu ya fidhi na yamekuwa makubwa kiasi ambacho yanaonekana je a naweza kuyatoa? Na akiyatoa hayana madhara? Kwa baadae?
  4. Pkhalfan

    Polisi wamtaka Sheikh Ponda ajitokeze kusema nani alimpiga risasi

    Hiyo risasi imepigwa kwa mbele ikatokea nyuma
  5. Pkhalfan

    Je jeuri ya Ponda ni udhaifu wa Rais Kikwete? Mbona 2000-2005 hakua na jeuri na kiburi hiki?

    Muda si mrefu nimetoka kuongea na shuhuda mmoja aliyekuwepo Morogoro. Ni kweli kuwa Sheikh PONDA amejeruhiwa vibaya kwa RISASI. Huu ni mwendelezo wa matukio ya kuwawinda viongozi wa dini, viongozi wa vyama vya siasa, waandishi wa habari na wanaharakati ambao serikali inaamini ni “watu...
  6. Pkhalfan

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Huo ni ubaguzi na upumbavu unaouzungumza hata akili huna kwanini unafurahi kuona mwenzio akiwa anaangamia kwa kudai haki zake????? Tatizo lako Hujui sheikh ponda kitu gani anachokisimamia so usiingilie Jambo lisilokuhusu mbona sisi hatuingilii ugomvi wenu na karsmatiki???? Tuna busara ndio...
  7. Pkhalfan

    Wachina wamevunja sheria gani

    Ule ukweli ni Kwamba wachina wanaokuja kisheria ni wale wenye makampuni ya ujenzi lakini sio vibarua wao na wa kkoo wote haramu
  8. Pkhalfan

    Story: Nilivyomtapeli tapeli wa Kisenegal mwaka 2009

    Kaka umetisha hawa jamaa wa west Africa wanajifanya wa juzi sana wa mambo safiiiiiii
  9. Pkhalfan

    Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

    Nimeishi kigoma najua madhara ya hawa watu whamiaji haramu tusikie hivi hivi hawafai hata kidogo
  10. Pkhalfan

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Redio imaan bado haijamaliza kifungo
  11. Pkhalfan

    Najihisi kuchanganyikiwa....

    Ni hali halisi unatakiwa kuwa na subira ila usikate tamaa hali hii ni Kawaida Kama bado unampenda
Back
Top Bottom