nina Gari aina ya Toyota spacio old model,Jana nimebadili oil ya gearbox nashangaa imebadili tabia,ili kuwa inabadili gear kwenye spidi ya 13km/h,baada ya kubadili mpka ifike 16km/hr je ni sahihi?nilistuka Na kumuuliza fundi ananambia itarudia hali yake oili bado inazunguka je ikoje Hapana...
mkuu @ munjy1 binafsi nasikitika kwa kuchukua hatua hii,kifupi nashukuru na nimefurahia customer care yako na sikupenda ifikie mwisho!
mimi nilipata toka kwako g6 na mbali na kutokuwa stable hewan kwasasa bado inafanya vizuri kupindukia FTA.
so all in all sina cha kulalamikia.
kiukweli sijutii kununua dongle toka kwa munjy1,kwani decoder hii imenipa burudan zaid kuliko nilivyotegemea.
ubunifu ndo swala la msingi,decoder n mpeg4 hd,nimekula pay tv vyakutosha,game mbili tu zilitosha kurudisha gharama ya pesa nlonunulia!
kwasasa nakamua fta zisizo na idadi hadi...
Mkuu m2n shukran kwa updates.
Naomba kujua kama azsky g6 inaweza tumika kama receiver ya kawaida ya mpeg4 kwa kuswitch ktk SAT kama uliwah jaribu.
Thanx
Hi kungu1,
I have g6 mpeg4 receiver,with this receiver can it be possible for me to trap Ad sports or any other fta sports chanels?
Kindly asking your assistant.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.