Kazi ya nani
mfano kufungiwa Azam tv n sh.30,000 kwa kazi rahisi isiyo zidi dk 15,maelekezo 2 yanantosha kufunga dstv...huku nipo mbali sana na town
Sasa na wewe mbona huwaelekezi wamfungie wenyewe unawaCharge 30,000?
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Habari wanajamvi,
Nahitaji maelekezo ya kufunga dish la dstv, ninauwezo wa kufunga Azam tv hivyo nikipata maelekezo naamini dstv ntaweza kuipata pia
acha uongo wako kama uliweza kufuna azamtv utashindwaje kufunga dstv?. Acha ubahiri siku hizi kunamafundi wa kufunga madish kila kona Tz tena kwabei karibu na bure au kama utaweza dstv unapatika kwenye satellite Eutelsat W7. 36.0E Frequency..11155 symbolate 30000. Pol H.
Habari wanajamvi,
Nahitaji maelekezo ya kufunga dish la dstv, ninauwezo wa kufunga Azam tv hivyo nikipata maelekezo naamini dstv ntaweza kuipata pia