Kwenye kilimo mazao ni mengi sambamba na hali za hewa nchini mbona kuna fursa nyingi kwenye kilimo. Kilimo kwanza serikali yetu ile kauli mbiu ya kilimo kwanza iliishia wapi
Hakika mambo ni mengi.
Kwenye kilimo mazao ni mengi sambamba na hali za hewa nchini mbona kuna fursa nyingi kwenye kilimo. Kilimo kwanza serikali yetu ile kauli mbiu ya kilimo kwanza iliishia wapi
Kuhusu soko. Ukiangalia nature ya mikoa yenye baridi inazalisha mboga mboga na matunda ambazo zinaweza kuuzwa mpaka nchi za nje. Mfano kuna maapple ya kutoka South Afrika yanakuja hapa nchini tunayaona sio kwamba hatuwezi kuyazalisha hapana tunaweza ila hatujawa serious km wenzetu. Mikoq kama...
Tanzania tuna ardhi nzuri kweli. Maana ukiangalia kwa East Afrika hapa Tanzania ndio nchi inayozalisha vyakula kwa kiwango kikibwa ni vyema kwa taifa letu lingekua na sera zinazoeleweka na hiyo brand unayosema ambayo itajivisha jukumu la kuongoza uuzwaji wa bidhaa toka Tanzania tuchukulie mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.