ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,279
- 3,178
Kweli Mac.Ingawa UKIMWI unaogopeka,amini kwamba kuna magonjwa ambayo ukiyapata leo kutoboa miaka 4 ni kazi sana sana.
Kwamfano upate homa au cancer ya ini, lazima utawahi ahela madukani na utamwacha mwenye ngoma anadunda.