Charles T
Member
- May 9, 2016
- 7
- 3
Kwa kweli somo hili nimelipenda sana. Kumbe kama hatuzingatii maswala fulani fulani tunaweza tukawa masikini wa kutupwaMkuu ni kweli kabisa, Hoby na Skills uliyo nayo ndo Idea zako za kwanza kabisa, Na huwa inasikitisha sana kukuta mtu amesomea syansi ya wanyama, na baadae unmkuta anauza bidhaa za jumla,
Mara nyingi sehemu ya kwanza ya kupata Experiens ya Business ni kazini kwako kwa walio ajiliwa na hii ni kutokana na ukweli kwamba wengi wanao acha kazi hufanya biashara zinazo fanana na kazi walizo kuwa wakifanya, Kama Ilikuwa Mpishi wa Hoteli fulani tunategemea ufungue mgahawa wa Chakula, na kama ulikuwa umeajiriwa kama mchomeraji wa Vyuma tunatarajia uanzishe ofisi yako ya Kuchomerea,