Zito ni mtu wao Ccm na kazi apewayo ni kusambaratisha Upinzani hivyo anaanzia huko ili aone watafanya nini. Nchi yetu imemalizwa na mafisadi wengi wauwaji wa wanyama pori mikataba ya mashamba ya miaka 100 n.k. Zito azungumzie mambo hayo yatamjenga upya. Aachane na kuchambuana na viongozi...
Bado mimi naamini wamarekani wanaweza kuisadia nchi yetu japo wengine mnaponda na mjue hamuwezi kubishana nao kwa lolote. Sasa mnataka kubishana nao kwa kukataa hizo pesa za maendeleo?
Makonda kwa hakika anatumia vibaya cheo alichopewa Akumbuke heshima na utii havinunuliwi uvumilivu popote unatakiwa kuishi na watu kwa amani muhimu sana kufanya kazi bila kujali itikadi za vyama muhimu sana .
Sisi tuliosoma hapo Dar miaka ya nyuma tuliona pia foleni ila kuwahi kazini muhimu. Sasa swala la kuwafungia tena wafanyakazi nje asubuhiasubuhi sioni lina maana yoyote. Yeye alipoamka alipita wapi au alifikaje haraka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.