Recent content by pius p.com

  1. P

    Sitosahau siku mchepuko uliponiachia mtoto kwenye daladala (Story Na Pongwer Mastory)

    SITOSAHAU SIKU MCHEPUKO" ULIPONIACHIA MTOTO KWENYE DALADALA. soma story hii. Mke wangu MARY aliamka mapema na kuniomba niende nikamsaidie badhi ya majukumu sokoni, kwani yeye siku hiyo alikuwa akijisikia vibaya, Hakukuwa na wakumtuma kwani tangu Tuoane tuliishi sisi Wawili hatukubahatika...
  2. P

    Vituko vya binti wa kazi toka Tanga

    Japo hujasema unaishi wapi asubuhi ya kesho muondoe huyo binti ni mzigo
  3. P

    Hii sasa dhahama, IT wana solve vipi hili?

    Siyo simu yako tu hata kwangu naiman na kwa wengine
  4. P

    Dar YATAPIKA Mkutano wa Magufuli, NYOMI YA KUFA MTU

    Hiyo ndo hali halisi angalia star tv
  5. P

    Mke wangu muda wote ni kulala

    Kwan mimba inapimwa na x ray?
  6. P

    Kuolewa na mwanajeshi

    Kwani wote wanaoachwa/wameoa au kuolewa na wanajeshi ?jiongeze na mwenyewe angalia hata mtaani kwako au nenda jeshin kaangalie ndoa zao zikoje
  7. P

    Live: Update mkutano wa DR magufuli -Singida Mjini

    Samahani tunaomba picha
  8. P

    Najuta kutongoza wanawake wa Dar!

    Unaonaje ukiwaoa wote wanne si utakua mjanja
Back
Top Bottom