mchukue mrembo tafuta jani bichi unalipiisha pale kati ya mapaja likitoka kama lilivyo your safe likitoka limekauka two things involves.......
Mateso yote ya nini mademu kibao tu.
hahaha hahaha umenifurahisha sana, umenikumbusha jamaa moja anauza dawa asili pale stand ya mbagala husema hizo dalili zao.
kuota ndoto upo na wa2 wafupi sana au warefu sana ni dalili zao. kijana angalia huenda dalili zao za mashetani mahaba
Ndugu yangu elimu sio kitu tena, wa2 wapokitaa hawana kazi na shahada zao za juu daraja la kwanza. Unaambiwa kazi ni kazi elimu yako unaweka kando unapotafuta maisha. Jamaa kawaza jambo la maana lkn demu anazingua wakati mafundi wanapiga pesa kitaa naelimu zao za std 7.
Tatizo hapo demu anajio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.