Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Hapa umepatia kabisa...akiwa kiburi ajiangamize nafsi yake mwenyewe.