Nyie wanawake maisha sio muvi tu

Nyie wanawake maisha sio muvi tu

basi pole ila acha ubabe wewe.. ongeza tv ya pili na head phone za kutosha kila mtu ageukie kwake
 
Unakuta mtu anataka muwe mnaishi maisha ya kuigiza ya kwenye muvi za kikorea!Tupo Africa sio korea na wale wanaigiza ili wapate hela ya kuendesha familia zao.Mambo ya kulazimisha waume zenu kuangalia muvi za kipumbavu kama zile ni upuuzi.

Unakuta mtu anataka mkae wote muangalie muvi za Kikorea ili muanze kuigiza na nyie ndani ya nyumba ukitaka kuangalia mpira hata, ukitoka kwenda kibanda umiza anachukia, sasa mi nifanyeje?Mnaboa aisee na kutaka kufundishana maisha ya maigizo!

Anyway msinimaind sana kuna mwenzenu kaniboa huku, ningekaa kimya ningemdunda mangumi!

zile muvi ni kali balaa,mie nilijaribu nikaona napata adiction sifanyi hata kazi vizuri nawaza nimeishia episode gani kha!Nimepiga chini kwa kishindo, mwaka sasa nimezipotezea hata nikiikuta home naipita tu
 
nyie watu mnaboa kwa kweli.
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kumvumilia mtu anayetaka kukufundisha uishi maisha ya kwenye muvi za kikorea na wewe unatambua ni African man.
muvi zake unamwachia aangalie ila ukitaka kuangalia mpira tu, utasikia twende kulala!!
kwa hiyo mie nisiangalie hobi zangu?

Aiseeeee km hapo kwny mpira wanakera hatar una hub
Na bol at unaambiwa hamna kwenda
 
Nlizan n mm mwnyw nakrewa na vtu hiv kumbe tupo wengi
 
Kila mtu na akipendacho....msipojifunza kuchukuliana na kuvumiliana ipo siku mtazidunda kweli
 
Hahahahah sipati picha...... mwendo wa tish tish tishhhhhhhh(mlio wa bastola huo tafadhali) heheheheheh
Heri ungemuacha na wakorea wake...halafu angehamia kwenye historical korean drama akhaaa maisha yangekuwa burudani

Teh teh..Mkuu mwache aendelee kuangalia tu hizo..Wangu nilikuwa namletea zengwe la kuangalia hizo tamthilia basi akahamia kwenye movie za kivita,action na za kinaijeria..Now nyumba ndo imekuwa chungu zaidi

Sasa ukimuudhi atahamia telemundo lazima udate
 
Hahahahah sipati picha...... mwendo wa tish tish tishhhhhhhh(mlio wa bastola huo tafadhali) heheheheheh
Heri ungemuacha na wakorea wake...halafu angehamia kwenye historical korean drama akhaaa maisha yangekuwa burudani



Sasa ukimuudhi atahamia telemundo lazima udate

Teh teh..Yakinishinda ntakuja kuomba hifadhi kwako..Si una chumba cha wageni?
 
Ha ha ha...Nyie wanawake ni shida kwa kweli..Hapo ukikaa kwenye series basi hakupikiki wala hakuliki

Tunapika bana...
Ila kulala ndio issue
Haswa ukute korean historical drama.....
Acha tu.......kila inavyoendelea inazidi kunoga....
Ukute unaangalia empress ki au yin san kama sio cruel palace yelewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Umenikumbusha kununua mpya.....
 
heheee na wewe unavyomlazimisha kuangalia mpira je?
maisha siyo mpira tu maisha ni pesa..wale wa man u wanatengeneza pesa wewe unabaki kushangilia na kukauka koo huku hata pesa ya bia haupati.

he he he he,,,,,
 
nyie watu mnaboa kwa kweli.
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kumvumilia mtu anayetaka kukufundisha uishi maisha ya kwenye muvi za kikorea na wewe unatambua ni African man.
muvi zake unamwachia aangalie ila ukitaka kuangalia mpira tu, utasikia twende kulala!!
kwa hiyo mie nisiangalie hobi zangu?

hahahaha ahahaha twende kulala ana wivu mpaka na tv anahisi inafaidi.
 
mimi huwa siangaliagi TV ... Mke wangu mtarajiwa popote ulipo naomba usijaribu kunilazimisha kuangalia ujinga wa kwenye TV... Ingekuwa ni amri yangu ningepiga marufuku TV .. over
 
kama hataki nimuingilie kwenye muvi zake kwa nini hataki niende zangu vibanda umiza nikaangalie zangu mpira??
mi nimegundua lengo lake na mie nianze kuimagine maisha ya kwenye muvi aanze kunituma kupika wakati yeye yuko busy kuangalia series.
 
kila mtu ana hobby zake... hamwezi kufanana each n everything...ila kisicho kubalika n kumlazmisha aangalie asichokipenda...
 
nyie watu mnaboa kwa kweli.
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kumvumilia mtu anayetaka kukufundisha uishi maisha ya kwenye muvi za kikorea na wewe unatambua ni African man.
muvi zake unamwachia aangalie ila ukitaka kuangalia mpira tu, utasikia twende kulala!!
kwa hiyo mie nisiangalie hobi zangu?

Unaweza kuignore usumbufu wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom