Recent content by Pipidarling

  1. Pipidarling

    Nina mtaji wa milioni 10, spea za pikipiki ni sahihi?

    Nambeni ushari, na uzoefu wenu spea za pikipiki zinalipa? Na changamoto ya hii biashara ni ipi na natakiwa kufanya nini ili nitoboe location Arusha.
  2. Pipidarling

    Ni ushamba, roho mbaya au ni umaskini?

    Pole ww mnyanyase unavyotaka ww,cz kama unatambua unayomfanyia siyo sawa basi ujue unafanya kusudi ila nalotaka kukwambia ipo siku atachoka ataamua ku move on na maisha mengine na wala kurudisha hvyo vitu vyako hataona tabu ila ndo hataka kutaka tena kamwe so kama unajua unampenda na kumuhitaji...
  3. Pipidarling

    Baada ya kuachana na aliyekuwa mchumba wangu, upweke unanimaliza

    Ww mdanganye mwenzio aowe fasta aweke shida ndani
  4. Pipidarling

    Baada ya kuachana na aliyekuwa mchumba wangu, upweke unanimaliza

    Kama bdo unampenda mrudie kilichowafanya mtengane ukirekebishe,cz inaonekana bdo unampenda hata ukiwa na mwingine inaweza ikawa ndo mawazo yaleyale tuuu
  5. Pipidarling

    Maelezo muhimu kuhusu majini!

    Ulishawahi kwenda ukakuta njia yako ni sahihi ama unaongea tuu ili kujibu!!fikiri kwanza kabla hujatoa jibu
  6. Pipidarling

    Maelezo muhimu kuhusu majini!

    Ww amini unachokiami,mwache na mwenzio amini Cha kwake cz unaposema atoke alipo je unauhakika gani kama wewe hapo ulipo ni mahala sahihi usifanye mchezo na imani ya mtu wewe.
  7. Pipidarling

    Maelezo muhimu kuhusu majini!

    Endeleen hivyo hivyo kukumbatia hayo majini yenu na kuyaamini ila mm kwangu hayana nafasi maana ypo mungu aliyeniumba ndo ninaye mtegemea kwenden hko na imani zenu za kipuuzi,badala ya kusali na kumuomba mungu unaenda kulikumbatia na kulisifia lijini mxuuuuu!!!!
  8. Pipidarling

    Tuhuma za mateso dhidi ya mayaya Oman, jibu la Mtanzania

    Ushajijibu mwenyewe kuwa nchi yao imeweka mkazo, sasa kama serikal imeweka mkazo ww unahisi wanaweza wakateswa kweli wakati nchi yao inafuatilia maendeleo yao, mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe.
  9. Pipidarling

    Tuhuma za mateso dhidi ya mayaya Oman, jibu la Mtanzania

    Ww ndugu utakuwa unakitu umetumwa c buree maana unajitahid kutetea
  10. Pipidarling

    Tuhuma za mateso dhidi ya mayaya Oman, jibu la Mtanzania

    Mbona lama unaelezea dini hapa cjakuelewa
  11. Pipidarling

    Neno lolote kwa ex wako

    Cjui alipo sasa
  12. Pipidarling

    Neno lolote kwa ex wako

    Huwa na mkumbuka cku moja moja
  13. Pipidarling

    Uliye nae sasa ndio wa ndoto yako?

    Mmmmmmh[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Back
Top Bottom