Natumaini watakuja wajuvi watakupa Msaada unaohitaji . kilichonishangaza ni kukimbia ufugaji wa kuku kwa sababu ya changamoto . je kwenye bata hutakimbia tena
Mkuu ONTARIO shukrani sana kwa hii elimu , haya makitu nilikua nayaona kwenye muvi zangu pendwa za wamarekani . machalii wadogo wadogo wako geto wanacheki hayo machat yakipanda na kushuka wanashangilia wakipiga hela . nikubali kua umetupita sana kwa mengi baadhi ya vijana kwa wazee tuliopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.