rafiki yangu mmoja alinionyesha tangazo la kazi kupitia simu yake ya mkononi na kunisihi nijaribu bahati nilituma tena kwa njia ya posta bada after two weeks niliitwa kwenye shortlist tena kwa njia ya cm nilienda kufanya interview na kwa bahati shortlist tulikuwa wachache kama watu 23 tu...
niliona umepevuka akiri ulivokuwa unashupaza mishipa katika kutetea Apex isiondolewe katika sheria mpya ya ushirika kwa hilo ulikuwa sahihi lakini kumbe bado mbulula hasa ulipotumia muda wote uliopewa kujadili katika kumtukana mbowe nadhani ulitaka kujisafisha maana wabunge wenzio wote magamba...
Wewe ndhani huijui skonge hivi Nkumba ni wakusifia kwa lipi kama angekuja na jipya angeleta mkakati mpya wa kuipatia skonge maji wa maana hapo angeeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.