Falsafa za Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
__________
Tumemaliza hatua ya kutia nia. Sasa ni kuchukua fomu. Utafuata uteuzi. Mawili yamejitokeza katika utiaji nia na uchukuaji fomu.
Kuna utitiri wa watia nia katika chama tawala na ukame wa watia nia...
Mungu ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika , Hapo ndipo nilipopazingatia sana, lazima mkuu wa nchi awatie moyo RAIA zake, vile vile tatizo LA corona linakuzwa zaidi na vyombo vya habari vya kimagharibi kuliko tatizo lenyewe.....
Fungeni mipaka kabisa na nchi ya Tanzania kila MTU ajue lake, katika vita hakuna udugu, nyinyi mbaki na uzima wenu na sisi tubaki na virus vyetu huo ndo msimamo wetu na hatupangiwi na yoyote yule,
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ni vita kuu ya tatu ya dunia kila taifa lina mbinu na njia zake kuweza kuhakikisha linaibuka mshindi, Tanzania imekataa na haitokubali kuchezeshwa ngoma isiyojua nani mpigaji, hatuwezi kuchezeshwa ngoma ya korona na watengenezaji wa korona wenyewe kwa malengo yao binafsi....hakuna haja ya...
Lipo jambo unaweza fikiri ni Shari kwako kumbe ni heri kwako, na lipo jambo unaweza fikiri ni heri kwako kumbe ni Shari kwako, Katik hili tatizo LA COVID 19 Magufuli JPM alifikiri litakuwa ni Shari kwake Hatimaye limemtakatisha sana duniani kwa msimamo wake.....hatimaye mataifa karibia yote...
Uraia pacha una faida na hasara zake mkuu....japo kwangu hasara ni kubwa kuliko faida....uraia pacha una faida kwa nchi zilizoemdelea sio nchi zetu hizi pangu pakavu....wanachuma afrika faida wanapeleka ulaya.....wakitumia mtaji walionao wa uraia pacha...
Sent using Jamii Forums mobile app
MTU unatuma meseji zaidi ya 150 kwa manzi lakini hupati majibu ya maana linatokea zee tu na meseji yake moja ya tigo pesa linamiliki mzigo, wanawake popote mlipo mlaaniwe....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.