Mimi nilitimuliwa home nikiwa na miaka 22 tu mzee kaniambia nioe au nikavue dagaa,niliondoka kweli na form four yangu ya 26 nikaingia mtaani nilianza kuchoma mawe na kupasua nauza nikawa nasukuma na mkokoteni kama mwaka mmoja hivi huku naishi kwa mama mdogo mwaka uliofuata nikaenda veta...
Wale watu wanajimudu kimaisha na sisi kinachotuponza ni ufukara ndo maana tunasema tuna upendo hakuna kitu kama hicho hapa duniani toboa life uone kama utakuwa na muda wa kujibana ukweni
Ukiona mwanamke anaongea kuhusu real man jua kabisa anamiliki danguro hawa watu wakutana na hawa real man huwa wanafeel good lakini wakikutana a man utasikia mwanaume gani wewe sasa
Ebu chukua mwanamke wako mtibishe nawe jitibu jaribuni kutulia pamoja,zamani nilikuwa ninashida sana na huu ugonjwa nilimeza dawa sana sasa hivi nina miaka miwili toka nijitambue na kutulia now nainjoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.