Shida ni watu hudhani ku code ni kitu tu simple yani you drag something and drop there
Ukitaka ujue ku code vzr kama hujasoma kozi za computer chuo yani unataka ufanye self learning anza kwanza kujua computing devices na internet zinafanyaje kazi hapo utajua programming ina play role gani...
Voda wanatwist sana maneno sio wa kuwaamini
Ushauri wangu
Option no 1 ambayo nina uhakika nayo na ni affordable - Zuku Fiber
Hii naitumia dukani iko vizuri sana ni 69,000 kwa mwezi Unlimited speed 10Mbps (shared)
Hawa wako vzr mno hakuna downtime wala mtandao kukata kata na speed yao...
Hakuna nyumba ambayo haina circuit breaker hizo ni requirement za Tanesco umeme unaotumia ndani umeshapita kwnye hiyo circuit na kazi yake kubwa ni kulinda nyumba incase of electric shock au radi na vitu vingine vikubwa
Swala la kulinda TV unatumia TV guard maana circuit breaker...
Nchi gani Dar hapa zuku nalipia 69,000 kwa mwezi unlimited speed ya 10Mbps ( Shared) na iko spidi sana sijawahi ona sehemu ina load maana wanakuungia fiber moja kwa moja
Inaonekana hujui vitu hizo nchi zingine ndo hata walishasahau bili z ainternet znalipwa kama bili za maji monthly
Kwa iOS vipi naona bado , na huku tuna shida kila nikiingia naambiwa sija log in yan niki exit app na kurudi naambiwa sija login ila muda inabidi ni login
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.