Una uhakika na ulichokiandika? Do simple research pls. Usafiri wa train ndio very chip duniani na ndio unapendwa na wengi. Usijaribu kutudanganya. Mradi wenyewe tulipigwa, haikutakiwa kujengwa kwa trillioni saba na ushee. Kwenye vichwa napo tumeletewa vibelenge (huyu anasema vibelenge vipya yule...
BASHIR YAKUB, Wakili.
0714047241
Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30 ninacholalamikia yakishindwa naendelea...
Umesahau na Felsechim Mramba! Huyu naye alitumbuliwa na Magu na kuletwa huyu aliyetumbuliwa na Hangaya. Tanzania haya mambo ni ya kawaida. Nobody takes record. Ni just kitenda cha kuota au kuambiwa na wapambe afu kesho ukafanya uteuzi. Afu CV huwa haziangaliwi, mtu akisharipoti kazini ndio CV...
Wapige hesabu, kwa kushirikiana na mabeberu tutatoa mkwanja afu hela ya tozo ielekezwe kwenye ujenzi wa zahanati, shule, barabara na ile sanamu ya ukumbusho Dodoma
Midege ilinunuliwa ili ikafanye nini kama haiwezi kuruka kwenda kwa wenzetu? Atapanda nani sasa kama Hangaya anaogopa? Mmenunua ndege ili ziende chato na kurudi sio + kwenda mikoa mingine ya Tanzania bara??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.