Kwani bila ya magufuli nchi haiwezi kwenda?wazo zuri sana, hili JPM angethubutu
Hawa wazee wa Tozo ndo tujenge barabara vijijini hawahwezi i tell youKwani bila ya magufuli nchi haiwezi kwenda?
Lile daraja liko mbali sana. Wajenge hiyo tunnel kisha watutoze kama kwenye daraja haina shida.daraja si tayari mkuu, NSSF walitufanyia wepesi.
meli si italikanyaga mkuu, maana sababu kubwa ya kupeleka daraja upande wa kule ni kupisha njia ya meli kuingia bandarini.Lile daraja liko mbali sana. Wajenge hiyo tunnel kisha watutoze kama kwenye daraja haina shida.
Itakanyaga vipi mkuu? Tunnel inapita chini ya maji sasa meli itakanyaga kivipi?meli si italikanyaga mkuu, maana sababu kubwa ya kupeleka daraja upande wa kule ni kupisha njia ya meli kuingia bandarini.
tueleweshe mkuu, hiyo sijui kwa nini hawakuliona before? ni njia nzuri na sehemu yenyewe ni fupi...Itakanyaga vipi mkuu? Tunnel inapita chini ya maji sasa meli itakanyaga kivipi?
Wapige hesabu, kwa kushirikiana na mabeberu tutatoa mkwanja afu hela ya tozo ielekezwe kwenye ujenzi wa zahanati, shule, barabara na ile sanamu ya ukumbusho DodomaKama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari.
Ni kweli mkuu sababu pengine ilikuwa kama hizo ulizotaja sehemu ya kuingilia hasa ingebidi barabarani iwe pana kuruhusu flow nzuri ya magari sasa kwa pale utabomoa majengo ya serikali na pia labda gharama kubwa ingawa gharama si wangeweza kuweka malipo kama kule darajani tu.tueleweshe mkuu, hiyo sijui kwa nini hawakuliona before? ni njia nzuri na sehemu yenyewe ni fupi...
ila nafikiri miungombinu iligoma sehemu ya kuingilia na sehemu ya kuibukia... gharama kubwa sana.
Sasa panapoongelewa ni mail 11?Nimeangalia gharama za kujenga TUNNEL ya urefu wa Mail 11 ni $10 billion. Kwa hela ya kitanzania inakuwa Trillion 23.
Hii hatuwezi ndugu, nchi yetu ni maskini mno - HATUWEZI.
Halafu meli zipite wapi?Kama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari.
Meli zinapita juu kama kawaida yake ila chini wananchi wenye magari wanapita kama kawaida,hii inasaidia kupunguza usumbufu wananchi waweze kufanya shughuli zao za kuliingizia taifa mapatoHalafu meli zipite wapi?