Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
- Thread starter
- #21
Hii desturi itakuja kuligharimu taifaHakuna ulazima ila wanaenda kama ni desturi tu. Hiari yashinda utumwa.
Hii desturi itakuja kuligharimu taifaHakuna ulazima ila wanaenda kama ni desturi tu. Hiari yashinda utumwa.
Unateseka na maisha ukiwa wapi ?Swali la kwanza, wewe hiyo inakusumbua nini kama ungeamua tu uendelee na shughuli zako na familia yako?!
Mimi nakula burudani tu. Nashangaa kwanini mtu ujipe mateso kwa mambo yasioathiri maisha yako..Unateseka na maisha ukiwa wapi ?
Kazi iendeleeMimi nakula burudani tu. Nashangaa kwanini mtu ujipe mateso kwa mambo yasioathiri maisha yako..
Elimu ipi unayoizungumzia?Ukitaka kuua Taifa ua ELIMU hakuna umuhimu wa kwenda airport kabisa
Kumekuwa na kautamaduni ka viongozi wetu wakuu wa nchi kujazana pale uwanja wa JKIA endapo mh Rais anakwea pipa kwenda nje ya nchi au endapo anarudi kutoka nje ya nchi.
Hii desturi imenifanya nijiulize swali ambalo sijapata majibu hadi dakika hii. Can’t the president just land and go home/state house peacefully without unnecessary and useless speeches which are always delivered after disembarking from shitplane?
I think what they do is dangerous kiusalama.
Maswali sitaki, nikisema nimesema
Mimi nakula burudani tu. Nashangaa kwanini mtu ujipe mateso kwa mambo yasioathiri maisha yako..
Habari za nchi ni lazima uzisikie pale unapotuaKumekuwa na kautamaduni ka viongozi wetu wakuu wa nchi kujazana pale uwanja wa JKIA endapo mh Rais anakwea pipa kwenda nje ya nchi au endapo anarudi kutoka nje ya nchi.
Hii desturi imenifanya nijiulize swali ambalo sijapata majibu hadi dakika hii. Can’t the president just land and go home/state house peacefully without unnecessary and useless speeches which are always delivered after disembarking from shitplane?
I think what they do is dangerous kiusalama.
Maswali sitaki, nikisema nimesema
Huo ulazima wa kupata habari unalazimisha pia wajazane pale airport kama vile hawana shughuli nyingine za kufanya ?Habari za nchi ni lazima uzisikie pale unapotua
Simple answer: "Wanakula jasho la walalahoi".Kumekuwa na kautamaduni ka viongozi wetu wakuu wa nchi kujazana pale uwanja wa JKIA endapo mh Rais anakwea pipa kwenda nje ya nchi au endapo anarudi kutoka nje ya nchi.
Hii desturi imenifanya nijiulize swali ambalo sijapata majibu hadi dakika hii. Can’t the president just land and go home/state house peacefully without unnecessary and useless speeches which are always delivered after disembarking from shitplane?
I think what they do is dangerous kiusalama.
Maswali sitaki, nikisema nimesema
With all my respect kwako maana sijui umri wako unaonekana hauna tofauti kabisa na middle class wetu including wale waliojazana pale Airport,jitahidi uwe unasoma to understand sio to ask questions.Hivi wale wanaojazana pale Airport si wengi wana PhD, hizo PhD huwa zinawasaidia nini ?
You are rightWith all my respect kwako maana sijui umri wako unaonekana hauna tofauti kabisa na middle class wetu including wale waliojazana pale Airport,jitahidi uwe unasoma to understand sio to ask questions.
Maisha ya binadamu ni miaka 70, zaidi ya hapo ni ziada tu, biblia inatuambia. Sasa wewe endelea kuishi maisha ya kusononeka kuwa unaibiwa, kisa kuna Kiongozi kaunguza mafuta kwenye Viete kwenda Airport kumpokea Mama!Inaathiri maisha yake na Watanzania wote. Kodi zinatumika kwa matumizi yadiyo na umuhimu wowote.
Tungeanzia hapo kupunguza matumizi.
Wewe ni mbinafsi.au inaonekana hujui athari za uongozi mbovu zinavyoweza kuathiri uchumi wa nchi hadi wa mwananchi mmoja mmoja ndugu zako kule kijijini wakiwemo.Mimi nakula burudani tu. Nashangaa kwanini mtu ujipe mateso kwa mambo yasioathiri maisha yako..
iv nyie wapumbv wachache mnajua thamani ya nyerer katk ili taifa? wakat uo yeye anapambania uhuru wa hii nchi, babu zenu walikuwa wakikimbizana uchi maporini wakilewa na kumiliki wanawake waliokuja kuzaa watoto vilaza, em kuweni na adabu kwa huyo kiongoz, mapungufu yake yasiwafanye mumuone mnyonge, wakat nyie ni hovyoNyerere killed this country and its economy
Ni justification ya kupiga pesa za ummaKumekuwa na kautamaduni ka viongozi wetu wakuu wa nchi kujazana pale uwanja wa JKIA endapo mh Rais anakwea pipa kwenda nje ya nchi au endapo anarudi kutoka nje ya nchi.
Hii desturi imenifanya nijiulize swali ambalo sijapata majibu hadi dakika hii. Can’t the president just land and go home/state house peacefully without unnecessary and useless speeches which are always delivered after disembarking from shitplane?
I think what they do is dangerous kiusalama.
Maswali sitaki, nikisema nimesema