Suala la upendo wa mtoto kwa mzaziwe ni la kimaumbile (nature) kwani mtoto ni damu ya mzazi, hivyo upo mvutano halisi na wa kiasili ambao kwao dhana ya upendo imejengwa kama uwezekano ila haijawa (potency) na ili upendo ukamilike uwe dhahiri (to be actualize) yapaswa mzazi kufanya mazoezi ya...
Lengo la makala haya, ni mwandishi kujaribu kuunga mkono baadhi ya watanzania ambao wamejaribu kupigia kelele ufundishaji wa falsafa katika mfumo wetu wa elimu. Kwa hiyo ni mapaendekezo ya kutaka serikali kupitia wizara ya elimu kuanzisha somo la falsafa katika elimu yetu kwa ustawi bora wa...
“JE INAWEZEKANA WATANZANIA KUPATA MAENDELEO KWA UTEGEMEZI WA SERIKALI PEKEE?”
Tutafakari
Kumekuwa, kwa kiasi kikubwa ndani ya watu (waafrika) dhana ya kwamba, ili mtu, jamii, au taifa liwe na maendeleo ni lazima serikali yake iwajibike kufanya hivyo. Hii ndio dhana iliyojaa vichwani mwa...
SIONI MANTIKI YA SERIKALI KUTETEA SUALA LA KUTOKUTENGA PESA ZA CHAKULA KWA SHULE ZA MABWENI YALIYOJENGWA NA WANANCHI KWA KIGEZO CHA USAJILI
Baada ya serikali ya awamu ya tano kuamua kutangaza kuwa elimu ya msingi (elimu msingi) ni bure, raia wengi tumeona ni suala zuri kwa maendeleo ya...
kama bomoa bomoa iko kinyume na sheria au iko kisheria lakini atekelezaji wanatenda isivyo, basi hoja yako ina mashiko lakini kama ni kinyume kwamba wafanyacho ndicho kinachostahili kufanywa kwa kuwa kina matokeo bora kwa taifa, hatupaswi kule sympathy kwa kigezo cha wanaohusika ni masikini au...
MUSTAKABALI BORA WA TAIFA NI WATU WENYE MWONO SAHIHI
Kwa kila kitu au jambo lililopo, huwa halipo si tu lipo, bali lipo si kutoka kusikokuwepo, lipo kwa chanzo au sababu maalumu. Ndivyo ilivyo kwa vitu vyote ulimwenguni kuanzia kiwango cha chini kabiasa katika mlolongo wa uwepo hadi ngazi ya...
hakika uko sahihi kuwa serikali ndio yenye kuwajibika kutoa elimu ya kujitegemea kwa raia. lakini serikali yetu haina viongozi wenye muono huo kwa sababu wanaikosa nidhamu yenye kuwaongoza kulijua hilo. na hiyo inasababishwa na kutokuwa na msingi bora wa maadili juu kipi kinastahili kufanywa km...
........"
What I am trying to say is the current generation of Tanzanians has the responsibility to define its own destiny which includes maadili and nidhamu as well. The work of Nyerere can inspire us; nonetheless, we can't emulate it in its entirety or the way he thought it should be...
nadhani kuwa kwa kutokumuelewa mtu hoja yake kwa sababu ama ya ulefu wa maelezo au kutokutaka kufungua macho kuelewa kile knachomaanishwa haimaanishi kuwa ni mjadala usiona na msingi bali kutokuwa na umsingi kuko ndani ya yule asiyewezakung'amua kile kinachomaanishwa.
katika hoja yetu msingi...
Hoja yako ni nzuri sana na lengo lako lina mantiki sahihi na mimi ninakubaliana na hoja yako mhimiri. Ila ninakwenda kinyume kidogo na mbinu unayoipendekeza kuweza kulifikia lengo hilo. Kwa maelezo yako mengi yamejikita katika kulaumu na kusema kauli kama inpaswa, lazima .nk . Kauli kama hizi ni...
katika subjectivism point of view, morality depends on the views of person or certain social conducts not universally. ndio maana objectivism and subjectivism bado havijafikia mwafaka. ufisadi na wizi ni mabaya kwa wale ambao unawaathiri ila sio kwa wale wanaonufaika nao
usifikiri kuwa kila anayekuonesha ufa katika hoja yako ana lengo la kukupinga. soma vizuri hoja zangu utagundua kuwa najaribu kuzichambua njia zako ulizoziainisha kama kweli ni msingi imara wa kupata kile unachokitaka. huwezi kuongelea kuwa mataendo haya yakifanywa ni mazuri na haya ni mabaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.