Recent content by philipo njovu

  1. philipo njovu

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Mingine inazungushwa. Mi ni Mroma naelewa sana hizi changamoto. Si tulipigwa msalaba wa bati laki 8. Paroko kaja kujua msalaba umepandishwa Usiku wa manane
  2. philipo njovu

    Nimepata mchumba bikra, anafaa kwa ndoa?

    Kwanza kabisa niseme hongera, pia pole. Kwa utaalamu wangu wa saikolojia za mabinti wengi. Huyo atakusumbua. Nina sababu Tatu. 1) Sio Rika lako, 19 kwa 30. Hapa usipokuwa EXPERT kwenye ngono. Utamuharibu saikolojia. Utamtoa bikra atakuchukia kwa maumivu. 2) Marafiki Je utakubali siku moja...
  3. philipo njovu

    ANGALIZO

    Kabla hujafanya maamuzi ya kuwa na watoto /Familia fahamu hili.. Watoto wamekuwa ni hazina na faraja ya wanawake uzeeni lakini faraja ya kudumu ya mwanaume uzeeni imekuwa ni mali zake alizotafuta ujanani. Wanaume tutafuteni pesa zitufariji baadae,waacheni wanawake washindane na akili zao...
  4. philipo njovu

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Roma ni taasisi, sio kama makanisa ya pentekoste.. Kuna Ofisi za walei, kuna Baba paroko kumuona na kumpa taarifa za malalamiko ni ruksa
  5. philipo njovu

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Ofisi zipo Kaka, katoe maoni
  6. philipo njovu

    Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

    Mungu hakutembelei usipomuhitaji. Wale hawamuhitaji Mtumishi ndo mana wapo hospital
  7. philipo njovu

    Maswali kwa wakristo wote humu karibuni kujibu

    Vizuri. Kifupi ni kwamba, Baada ya Mussa kutupwa. Ulikuwa ni mpango wa Mungu. Baadae akaokotwa na yule Dada. Yule Dada kwa nguvu zake na utashi, na upendo.. Alifahamu kuwa yule ni mtoto wa watumwa wao, ndo maana alimtafuta mwanamke amnyonyeshe. JIBU: Alilindwa na Binti Mfalme. Daka hii pia...
  8. philipo njovu

    Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

    Maisha ya mtanzania ya kawaida sana, hata kwa asie Soma bajeti ya kula ikiwa 300000. Inatosha sana, ila tu madokta wengi ni maskini. Atawaza kutanua bila kujilinda
  9. philipo njovu

    Vijana wengi wa kikristo huchelewa kuoa ama hawaoi ni ushahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza

    Mimi ni kijana. Nina ndoa sasa mwaka na miezi. Lazima ufahamu kuna ndoa na utandawazi. Ndoa ni makubaliano Kati ya pande mbili Bwana na Bibi. Alafu kuna cheti cha ndoa. Hii ni karatasi itokayo Serikalini ikiwa na maana ya kushughulikia mambo ya mirathi na ushahidi wa Bwana na Bibi kisheria...
  10. philipo njovu

    Nabi na Yanga wamefanya wameleta mtazamo tofauti na uliozeleka africa

    Walivyoipiga kipanga wakajiona miamba. All the best tuache upumbavu wa kuipanda timu kichwani
  11. philipo njovu

    Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

    GB "GANZI BOY STUDIO" Morogoro town.. nipo na chimbo langu ofisi flani hivi ya Library.. nauza movie na vifaa vya simu. Mtaalamu wa hizi kazi... Big up sana
Back
Top Bottom