Recent content by philipo.co

  1. philipo.co

    Kijiji gani Rufiji unaweza fanya kilimo cha umwagiliaji

    Tikitimaji kijiji : ikwiriri
  2. philipo.co

    Kijiji gani Rufiji unaweza fanya kilimo cha umwagiliaji

    Samahani ndugu na Mimi ninahitaji shamba huko walau hekari mbili za kuanzia kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji naomba msaada wako
  3. philipo.co

    Nitawapa wapi mashine ya kufyatua tofali za udongo?

    Asante bro na bei yao waifahamu? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. philipo.co

    Nitawapa wapi mashine ya kufyatua tofali za udongo?

    Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
  5. philipo.co

    Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

    Sasa hiyo foundation imeondolewajuz 2 na serikali yenyewe
  6. philipo.co

    Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

    Ila ulopost hii kitu mhh usalama wako kwanza
  7. philipo.co

    Shilole aamua kumtafuta 'Ticha' wa Kumfundisha Kimombo

    Mwisho wa siku atakielewa kuliko wewe mwenye aibu katika kujifunza na itabaki story tu mara ooh kajifunza juzijuzi tu hapa
  8. philipo.co

    Nisaidieni, bwana anataka aninyang'anye watoto

    Duh bwana wa pakistani tena mhhh
  9. philipo.co

    TCRA yaitaka Clouds kuomba Msamaha Wananchi kwa kosa la kumhoji Shoga

    Tatizo la watanzania, huyo shoga nae mtanzania na mnao hukooo makwenu eti leo kaonyeshwa kwenye tv mnang'aka kwan hamuwajui? Mbona mnaishinao na nyie wenyewe ndo mnawatumia. Akili kumkichwa. Hili neno sio geni na hawa watu wapo na wanaowatumia wapo tanzania hii na miongoni mwao ni walalamikaji...
  10. philipo.co

    Kila Kadi ya Simu ya Mkononi Kutozwa TShs. 1,000 Kwa Mwezi

    Hawa dawa yao ni kulipia line moja af vifurushi vya kurusha no kuweka pesa kwa simu labda wafungie huduma hii
  11. philipo.co

    Sisi wataalam wa Tanzania tumesikitishwa na kauli yako Rais Magufuli

    Baasi warwanda mtutengenezee af sie ambao inaonekana hatuna weledi tuhack zikishavuja ndo mtajua mwenye uwezo wa kuhack na mwenye uwezo wa kutengeneza nani fundi zaidi ya mwingine
  12. philipo.co

    Jimbo la Ubungo tunajuta kumchagua Kubenea

    Kwan umemchagua peke yako? Acha uboya
  13. philipo.co

    Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

    Dah hil dili la TRA si angetuita kina sie mbona twaweza au anahis tutaiba na hata tukiiba sio sana sasa huyo mrwada akiamua kuiba si bas kabisa
  14. philipo.co

    Lissu anyimwa Dhamana, kupelekwa mahakamani kesho

    Na mashtaka mawili kati ya matatu yashafutwa mapemaaaa
  15. philipo.co

    Lissu anyimwa Dhamana, kupelekwa mahakamani kesho

    Hahahaaa mahakaman ndo kutakua na vioja hiv alivosema dicteta uchwara kataja jina? Au JPM ndo kiongozi pekee hapa nchini? Akipindisha akasema makonda hahaha na akisema alimaanisha mkewe mtajibu nn, swala ni kwamba hajataja jina wala cheo cha huyo dictator xaxa mkiguess mnakosea hahahaaaa patam...
Back
Top Bottom