Natumaini mko salama! Wenye changamoto poleni.
Leo napenda kushare na ninyi mkasa wa kuibiwa kimaajabu ulio nipata siku kadha zilizopita.
Baada ya kuhitimu chuo kimoja wapo jijini Dar es Salaam niliamua kubaki sikurudi nyumbani kwakua hakukua na inshu ya Kwenda kufanya, niliamua kukomaa...
we should also learn to let things go, whether a person or a situation!! Holding them while they are toxic, they may end up destroying your future!!!!!!!!!!!!!! Let them go
Punguza makasiriko mkuu!! Najua majaliwa hakufanya kazi pekeake ilikua ni teamwork!! Kilicho mwinua majaliwa ni bahati tu!!
Hata wewe wakati wako wa bahati ukifika wenye makasiriko kama yako hawatoacha kuandika nyuzi kama zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.