Habari za muda huu wadau, najua kila mmoja wetu anaelewa kuwa kabla ya bidhaa yeyote ile kabla ya kuingia sokoni na kumfikia mtumiaji wa mwisho lazima ipitie.
Kwenye majaribio mbalimbali kujidhihirisha ubora wake watu wa quality conteol watakuwa wanaelewa haya mambo... Swal langu je ni njia...
Kama itakua ivyo kweli basi hii serikali yetu na tanesco watakua wamekosea na inaweza pia ikawa chachu kwa sana Zanzibar kutaka muungano kuvunjika......ila kwa Sasa serikali ya Zanzibar ifanye mipango ya kua na vyanzo vyake vya kuzalishaji umeme bila ya kutegemea huku bara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.