TISS wana kazi nyingi. TISS wanaweza side na upinzani kupinga baadhi ya mienendo ya serikali ijisahhishe. Kwahiyo inaweza kuwa strategy.
Mf. hizo taarifa za kuchota Billion 86 BoT. Wanavujisha ili watu wawajibishwe!
Humjui ktk Utawala! Sema ww ni bendera fuata upepo.. Kifupi hata matendo yake na matamko yake kwenye TV alipo kuwa KATIBU CCM hatufai. Yy ,na polepole ndio wameharibu Taifa la Nyerere lenye Umoja. Wamejenga Chuki, wame ua demokrasia na kugaww Taifa. Rais anakufa watu wanashingilia kisa upuuzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.