Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Osama kwan alipatikana utawala wa Obama? Nahisi kusahau
 
Hii idara tangu ndege iziuwe kule Bondeni, tangu mahindi yazuiwe tangu nisikie rwanda wanatengeneza simu ilinihali maligafi zinapita bandari ya DSM bila kutoa taarifa na analysis mapema ili kuzuia au kuweka figisu tusipatwe na mabalaa nikajua kazi yao ni kubeba maboksi yaliojaa kura zilizopigwa tayari.

Yaani uzuie bidhaa za mataifa mengine ili kuharibu uzalishaji wao?? Aisee, kumbe ndio maana mnaiita vita. Nawe unataka kuzuiwa namna hiyo ili uje hapa useme “vita vya kiuchumi”?? Huu ni ujinga!
 
Peace, Stability and Prosperity
IMG_20210321_213020.jpg
 
Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
nikurekebishe hapo. huwezi run heavy operation kama hiyo bila usalama wa taifa.
CIA walihusishwa, navy seals special operators.. pamoja na 106th special aviation squad.
though operation ilikuwa ya CIA.. navy seals wakiwa ni tactical team ya kuekeleza mission.

so ni joint opp. japo mission kama hii ilikuwa ya siri sana that watu wachache walijua. ila si wawili.
 
Na ndio maana nasema nchi haipo salama,kuna Vijana wa TISS siyo waaminifu wanatoa taarifa nje. Hii kitu siyo ya kuchekea kabisa ni hatari sana
hii hali imetokana na ccm kupenyeza vijana wasio na quality ndani ya shirika.
wamefanya makusudi ili wali control shirika kupitia hao makada.
matokea yake ndio haya.. tunakuja kupaya product za hovyo kama akina sabaya.
 
Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
vifaa maalumu vya kunusa? huwez nusa digital camera. + pale watu ni wengi sana
. una detect nini?
mazingira ni magumu. labda wangekuwa ikulu
 
Mwamba ameongelea ethics za TIS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TIS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TIS na huku ni mwana CCM . Awe ccm kwa kazi maalumu tuu. Lkn cyo kuwa kindakindaki . Tunaitaji kuwa na Strong institution na cyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba Jpm! UlichokifanyaTz! kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya jpm! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.
Mkuu ninavyofahamu, TISS miaka ya 70s walikuwa wanawachukua vijana bright toka shule zinazo perform vizuri.
Na hiyo ndiyo principe ya mashirika yote ya usalama duniani-recruit the best.
Sivyo ilivyo sasa hivi, ni watoto wa mjomba hata kama hana akili sawasawa.

Pili operating principles za TISS sasa hivi zinatia mashaka.
Hata mapolisi sasa wanachaguliwa kuiongoza.
Hii inawavunja moyo career service personnel wanaoifahamu idara nje ndani.
Lazima kunakuwepo resentment.

Tatu, TISS inatakiwa iwe na unquestionable ALLEGIANCE TO THE STATE AND CONSTIUTION, na siyo allegiance to a political leader ambaye anaweza kuigeuza kuwa ni mali yake hadi kufanya mambo nje ya katiba.
Si uongo kwamba katika muda huu wa wasiwasi wa afya ya Commander in Chief, JWTZ wamefanya kazi iliyoiletea heshima Taifa, sina uhakika na TISS maana walisha sahau kuwa allegience is to the State and constitution first, then to the C in C.

Sasa watu ndani ya hivi vyombo very sensitive wanapopewa amri zinazoweza kuvunja katiba unategemea nini?
Ukweli utabaki kuwa ukweli, na ukweli uko very powerful.
Mtu usipouheshimu ukweli lazima kuna watu ambao nafsi zao zitawagusa ili kueleza ukweli huo, haijalishi cheo.
 
Kosa kubwa ni LEGAL au INSTITUTION SET UP ya Taasisi ya TISS. Hii Taasisi imeji affiliate na CCM ni kosa kubwa. Ndio maana ZZK aliwahi kusema ifumuliwe. Si usalama wa Taifa tena bali usalama wa CCM. Na ndio maana mijizi ya CCM inapigania vyeo vikubwa na itapata!
 
TISS wana kazi nyingi. TISS wanaweza side na upinzani kupinga baadhi ya mienendo ya serikali ijisahhishe. Kwahiyo inaweza kuwa strategy.
Mf. hizo taarifa za kuchota Billion 86 BoT. Wanavujisha ili watu wawajibishwe!
 
Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.

TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.

Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.

Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Huyo Mpiga Picture Kaachia Video Na Sura Ya JPM, Hatari Technology Inatisha Mno
Kuna Mtu Alikuwa Anauliza Mbona Sura Haipo
 
Ni kweli aisee kama huyu kenge kazipata wapi habari za kuwa rais kavutankama sio hao hao tiss!?
 
Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.

TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.

Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.

Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Huyo Mpiga Picture Kaachia Video Na Sura Ya JPM, Hatari Technology Inatisha Mno
Kuna Mtu Alikuwa Anauliza Mbona Sura Haipo
 
Back
Top Bottom