Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Osama kwan alipatikana utawala wa Obama? Nahisi kusahauMkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.