Uzi ufungwe sasa huko palipo baki wakufuate PM mimi rasmi naishi hapa, huwezi amini nimefurahi sana ulivyo ila hiyo manzi, Pia hongera kwa utunzi na uandishi mzuri japo kulikuwa na makosa madogo madogo ya kibinadamu ila HONGERA SANA.
KWAHERINI.
Mnaosema Iryn ni jini mnaa maana gani ikiwa historia yake tunaijua kwa uchache, kama mama yake alikuwa mkuu wa Organization "X", Baba yake yake yupo South, pia mama Janet anamsimamia kwenye baadhi ya mambo.
EBU FIKIRIENI HILO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.