Tatizo sia Tanzania, tatizo ni siasa za Trump, tuwe na amani, atamaliza tu utawala wake. Kisa tuna mahusiano mazuri na China.
Siasa za Trump zimeganda kihistoria ya enzi za vita baridi, hajazinduka bado.
Watalii wanaoingia hasa ndege za usiku na asubuhi mapema, ni asilimia chini ya 5% tu ya Watalii wanaopewa Visa ya kweli.
95% wanagongewa mhuri flani na akiomba Visa kamwe hapewi na hubabaishwa na pia huenda akapewa adhabu ya kusumbuliwa kwa visingizio mbali mbali kama kumpiga upekuzi na kuwekwa...
Iangaliwe Meli kubwa ya Kimataifa ya Makontena inayopita polepole mbele ya Paje Zanzibar ya mashariki, inashusha vitu haramu sana na kupokelewa na maboti ya mwendokasi yanayojifanya ya Diving activities au fishing.
Pia Majahazi, Bandari Bubu na Bandari ya Mkokotoni na njia za Wavuvi
Pia iangaliwe Meli kubwa ya Kimataifa ya Makontena inayopita polepole mbele ya Paje Zanzibar ya mashariki, inashusha vitu haramu sana na kupokelewa na maboti ya mwendokasi yanayojifanya ya Diving activities au fishing.
Kutoka Zanzibar Majahazi ya kujifanya Wavuvi, Bandari Bubu na Bandari ya Mkokotoni. Ndio wanaojaza mizigo mpaka isiyoruhusiwa na pia kodi hailipwi. Wanunuzi wakuu Bara ni wapemba kwa chuki za Bara wanaunga mkono makusudi.
Dudu acha tabia hio ya ukabila na kukurupuka. Waafrika wafugaji kuanzia Ethiopia , Tanzania au iwe Algiers , sio kwamba hawataki ufugaji wa kisasa, ila je miundombinu inaruhusu? je maji na chakula cha wanyama wa kisasa wasioweza kutembea hata hatua 100 unacho uwalishe? vijijini ndugu zako...
Kikwete alikuwa na Majina mfukoni ya wagombea wa kupitishwa by Prof Mark Mwandosya.
Nae adhibitisha lilikuwa ni Goli haramu la Mkono. Hichi ndicho alichokisema Lowassa kuwa ni unafiki kubaki ccm baada ya kushuhudia ikibaka demokrasia yaani haki za Watanzania pale Dodoma.
Mafuriko yaendelee...
Orodha za Ufisadi CCM kwa Ufupi tu.
TTTCL kuuzwa kwa bei ya kutupa ni Mwandosya Fisadi. Kuingia mitini na Pesa za Tanzania alizotoa Gadaffi ni Membe Fisadi. Bilioni 250 zilizolipwa Wakandarasi hewa wa ujenzi wa Barabara ni Magufuli Fisadi. Mabilioni ya STIMULUS PACKAGE ya Pamba ni Kikwete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.